USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,664
Mida hii natoka job of course ni weekend so nikajipitisha mitaa ya tegeta nakuta Bei ya nyama ya ng'ombe imepanda kutoka 7000-8500 nikakakausha nikajua mbezi Bei itakuwa pungufu.
Nafika mbezi jirani kabisa na home ambapo huwa nanunua nikakuta Bei imepanda na wao wanauza8500 nilivyouliza wakasema ni sababu ya gharama za mafuta zimepanda hasa ongezeko la Kodi kwenye mafuta ya mgari.
Kodi imeitwa tozo kijanjajanja ilikupumbaza wajinga, tozo ya mafuta ya kula,tozo ya mbolea,tozo ya miamala ya simu, tozo ya majengo, tozo kwenye mishahara, tozo kwenye voucher za simu, tozo za application za simu,tozo ya bima za afya, tozo ya usafi majumbani, tozo ya tozo.
Nimehakikishiwa kuwa kuanzia sasa vyakula vitapanda bei sana maana usafiri imepanda na pia vifaa vya ujenzi.
USSR
Nafika mbezi jirani kabisa na home ambapo huwa nanunua nikakuta Bei imepanda na wao wanauza8500 nilivyouliza wakasema ni sababu ya gharama za mafuta zimepanda hasa ongezeko la Kodi kwenye mafuta ya mgari.
Kodi imeitwa tozo kijanjajanja ilikupumbaza wajinga, tozo ya mafuta ya kula,tozo ya mbolea,tozo ya miamala ya simu, tozo ya majengo, tozo kwenye mishahara, tozo kwenye voucher za simu, tozo za application za simu,tozo ya bima za afya, tozo ya usafi majumbani, tozo ya tozo.
Nimehakikishiwa kuwa kuanzia sasa vyakula vitapanda bei sana maana usafiri imepanda na pia vifaa vya ujenzi.
USSR