Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Utangulizi
Gambler's Fallacy a.k.a Monte Carlo Fallacy, ktk lugha rahisi ni aina ya fallacy inayoeza kuwa-summarized kwa kimombo kama ifuatavyo:
Gambler's Fallacy assumes departure,outlier or anomaly from what occurs on average (expectation) or in the long-term will be rectified in the short-term
Illustratively, tunaeza kufupisha kaa ifuatavyo:
1. Event 'A' has happened
2. Event 'A' departs from expectation
3. Therefore, event 'A' will come to an end-soon.
Maelezo zaidi yanaeza kupatikana kwa wikipedia au chanzo kingine chochote cha kuaminika.
Kuongezea zaidi, mfano huu unapatikana kutoka kwa wikipedia.
For example, if a fair coin is tossed repeatedly and tails comes up a larger number of times than is expected, a gambler may incorrectly believe that this means that heads is more likely in future tosses.http://en.wikipedia.org/wiki/Gambler's_fallacy#cite_note-1
Kusudio
Changamoto
Changamoto kwa kila mmoja wetu, anayesoma kipande hiki, a-defend kwa hoja, je yeye ni gambler au si gambler, kama sio gambler ana mpango gani?
Mimi binafsi sio Gambler, nishakataa hii biashara ya kutegemea kuvuna madafu kwa kupanda chelewa, maana ni kujipa matumaini ya kiuendaazimu!!. Nimestack bado kwenye mawazo ya whats is next, mbele kiza nyuma kiza, I'm stalked with my own fear that my people are not seing things clearly. They don't know the magnitude of our problems!!
Tufenyeje wajemeni?
Nia hasa ya kuleta utangulizi huo hapo juu, ni kulinganisha hali halisi ya mwenendo wa kiutawala ktk taifa letu ktk maisha halisi, hususan ktk wakti huu wa kipindi cha kufanya uchaguzi.
Jinsi ilivo ni kwamba wengi wetu tuna-commit hii fallacy, kwa kudhani kwamba uongzoi bora utapatikana kwa kujaribu, na ku-gamble, the same way a gambler does it in Monte Carlo Casinos...ati kwamba mfumo uliopo pamoja na failure na nyufa zake ambazo zinaonekana kila mahali, kila kona labda utabadilika siku moja na kutuletea mabadiliko makubwa, maendeleo ya kama yale tunayoyaona kwenye dunia za wenzetu.
Kwamba labda CCM pamoja na kuwa madarakani tangia uhuru (ambao ni sawa na umri wa mtu mzima anayeeza kujukuu) bado hakuna glimpses or signs of any splashes zozote kuonesha kuwa tupo kwenye right track kuelekea kwenye promise land. Sayuni.
Jinsi ilivo ni kwamba wengi wetu tuna-commit hii fallacy, kwa kudhani kwamba uongzoi bora utapatikana kwa kujaribu, na ku-gamble, the same way a gambler does it in Monte Carlo Casinos...ati kwamba mfumo uliopo pamoja na failure na nyufa zake ambazo zinaonekana kila mahali, kila kona labda utabadilika siku moja na kutuletea mabadiliko makubwa, maendeleo ya kama yale tunayoyaona kwenye dunia za wenzetu.
Kwamba labda CCM pamoja na kuwa madarakani tangia uhuru (ambao ni sawa na umri wa mtu mzima anayeeza kujukuu) bado hakuna glimpses or signs of any splashes zozote kuonesha kuwa tupo kwenye right track kuelekea kwenye promise land. Sayuni.
Changamoto
Changamoto kwa kila mmoja wetu, anayesoma kipande hiki, a-defend kwa hoja, je yeye ni gambler au si gambler, kama sio gambler ana mpango gani?
Mimi binafsi sio Gambler, nishakataa hii biashara ya kutegemea kuvuna madafu kwa kupanda chelewa, maana ni kujipa matumaini ya kiuendaazimu!!. Nimestack bado kwenye mawazo ya whats is next, mbele kiza nyuma kiza, I'm stalked with my own fear that my people are not seing things clearly. They don't know the magnitude of our problems!!
Tufenyeje wajemeni?