mwangalizi
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 842
- 512
Ndugu wana JF,
Nadhani ni muda muafaka sasa wa kufuta mfumo wa vyama vingi vya siasa.
Sababu;
1. Maisha enzi za chama kushika hatamu yalikuwa ya upendo, umoja, amani na heshima. Tofauti na sasa ambapo hakuna tena upendo, tazama post zinazohusu majeshi, waziri mkuu n.k.
Kila mtu ni msemaji, tumekuwa familia ya kambare!
2. Mfumo huu ulikubaliwa na asilimia ndogo tu ya Watanzania.
Ndugu wana JF, kurudi nyuma (retreat) ni mbinu pia ya ushindi.
Naomba kuwasilisha. Zidumu fikra sahihi za watanzania. Mungu ibariki Tanzania.
Nadhani ni muda muafaka sasa wa kufuta mfumo wa vyama vingi vya siasa.
Sababu;
1. Maisha enzi za chama kushika hatamu yalikuwa ya upendo, umoja, amani na heshima. Tofauti na sasa ambapo hakuna tena upendo, tazama post zinazohusu majeshi, waziri mkuu n.k.
Kila mtu ni msemaji, tumekuwa familia ya kambare!
2. Mfumo huu ulikubaliwa na asilimia ndogo tu ya Watanzania.
Ndugu wana JF, kurudi nyuma (retreat) ni mbinu pia ya ushindi.
Naomba kuwasilisha. Zidumu fikra sahihi za watanzania. Mungu ibariki Tanzania.