Kkimondoa
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 4,453
- 4,933
Kama kichwa kisemavyo hapo juu utumishi wa uma kwa sasa haueleweki
Maamuzi mengi yanategemea kauli ya aliye juu yako na si sheria tena inayo zingatiwa
Utumishi umekuwa wa mashaka kila siku maana huyu anapandishwa leo kesho kashushwa bila sababu , atapandishwa huyu yule ataondolewa bila sababu , huyu ata mtukana yule ili mradi tuu yuko juu yake ., utumishi hauna heshima tena na amani ya kazi imetoweka
Imefika hatua hata mwenye kiti wa chama kata anaweza kumtusi DMO hadharani huku akishangiliwa
Utumishi umevamiwa na wahuni hakuna tija uwepo wa sheria za utumishi maana kila mara ni vitisho na mikwara kwa watumishi
Nini kifanyike kurudisha heshima kwa watumishi waheshimiwe na watekeleze majukumu yao kwa umakini?
Maamuzi mengi yanategemea kauli ya aliye juu yako na si sheria tena inayo zingatiwa
Utumishi umekuwa wa mashaka kila siku maana huyu anapandishwa leo kesho kashushwa bila sababu , atapandishwa huyu yule ataondolewa bila sababu , huyu ata mtukana yule ili mradi tuu yuko juu yake ., utumishi hauna heshima tena na amani ya kazi imetoweka
Imefika hatua hata mwenye kiti wa chama kata anaweza kumtusi DMO hadharani huku akishangiliwa
Utumishi umevamiwa na wahuni hakuna tija uwepo wa sheria za utumishi maana kila mara ni vitisho na mikwara kwa watumishi
Nini kifanyike kurudisha heshima kwa watumishi waheshimiwe na watekeleze majukumu yao kwa umakini?