sameer0220
Member
- Nov 10, 2024
- 21
- 37
Nina ndugu yangu yuko kidato cha kwanza shule ya private ila leo karudi na barua toka shule kwamba kachuguliwa kusoma HKL kwa maana ya masomo ya ART na ni yuko kidato cha kwanza je huu ni mtaala mpya wa kulazimishwa kusoma combinations fulani bila mwanafunzi kuchagua?
Na hata bado hajafika Kidato cha tatu?
Na hata bado hajafika Kidato cha tatu?