nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,896
Habari,
Poleni wakuu na hili janga.
Hivi hizi shule zetu na vyuo watafungua kweli baada hizi siku 30 kuisha.
Na wasipofungua itakuaje mbona system za shule zinabadilika sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni wakuu na hili janga.
Hivi hizi shule zetu na vyuo watafungua kweli baada hizi siku 30 kuisha.
Na wasipofungua itakuaje mbona system za shule zinabadilika sana.
Sent using Jamii Forums mobile app