sekhal
Member
- Jul 21, 2016
- 52
- 40
Habari wanajamii
Mbele yenu naomba kufahamishwa kama kuna mtu aliyewahi kuhamisha umiliki (transfer) wa ardhi, hati za mfumo mpya kupitia e- ardhi. Maana mimi nimefanya kila kitu mpaka kupata tax clearance lkn mfumo ndio unanikwamisha kuendelea na transfer. Nimefika jiji majibu ni yaleyale '"transfer mfumo mpya subirini"", kama mjuavyo subira yavuta heri lakini pia ngoja ngoja yaumiza matumbo. Naombeni mliofanikiwa kufanya transfer mniambie nyie mlifanyaje (NB Hati za mfumo mpya) Wizara ya Ardhi
Mbele yenu naomba kufahamishwa kama kuna mtu aliyewahi kuhamisha umiliki (transfer) wa ardhi, hati za mfumo mpya kupitia e- ardhi. Maana mimi nimefanya kila kitu mpaka kupata tax clearance lkn mfumo ndio unanikwamisha kuendelea na transfer. Nimefika jiji majibu ni yaleyale '"transfer mfumo mpya subirini"", kama mjuavyo subira yavuta heri lakini pia ngoja ngoja yaumiza matumbo. Naombeni mliofanikiwa kufanya transfer mniambie nyie mlifanyaje (NB Hati za mfumo mpya) Wizara ya Ardhi