Sio mchezo...Mungu fundiii!!!
Hapana sio fundi... ni engineer.Sio mchezo...Mungu fundiii!!!
Hapana sio engineer... ni MunguHapana sio fundi... ni engineer.
AminaDah Mungu Wetu Mkubwa!
Mpe haki yakeDah Mungu Wetu Mkubwa!
Mabaulogist wanahusika hapaHuyo mtu alikuwa ktk hali gani? Mi nafkiri kuna hali inayoweza kusababisha damu kupelekwa kwa wingi ktk eneo fulani la mwili. Naomba nifafanuliwe hapo
Kama sijaelewa swali lako chief!Huyo mtu alikuwa ktk hali gani? Mi nafkiri kuna hali inayoweza kusababisha damu kupelekwa kwa wingi ktk eneo fulani la mwili. Naomba nifafanuliwe hapo
Nafikiri kwa sababu kichwa kimebeba viungo vingi kwa wakati mmoja kwahyo vinahitaji damu viweze kufanya kazi,Kwa nn kichwani zaidi unafikiri?