britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
- Thread starter
- #41
Umeonautakua hatari zaidi ya huu wa baba kuwa Raisi, baba mdogo wazir, shemeji waziri, mtoto mbunge?
Umeonautakua hatari zaidi ya huu wa baba kuwa Raisi, baba mdogo wazir, shemeji waziri, mtoto mbunge?
Lakini ilizaa matundaHongera, umejidamka kupost kabla ya wote sasa wahi Lumumba Nape akifika tu upate chako.
Lakini....
umepost utumbo na hujatoa analysis yoyote hata Nape anaweza kukutosa kukupa ujira wako.
Kazi tuuHapa kazi tu huku mpaka sasa umelala na huna kazi, kijana mzima unapost utumbo kama vile umeshindia mihogo