Mfumo ule ule unataka kurudi kupitia UKAWA!

Mfumo ule ule unataka kurudi kupitia UKAWA!

meningitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
8,464
Reaction score
4,828
Wanasiasa wanatufanya mabwege sana.

Sioni jipya zaidi ya uroho wa madaraka tu.Wale tuliowachukia na waliounda mfumo huu dhaifu na wa kimagumashi ndio hao leo wanaokuja kujidai wanasaidia mabadiliko.

Wale wale waliotupigia na kutuulia ndugu zetu leo hii wanajidai wanasaidia ukombozi.

Hii ni big joke yaani ni kama vile Netanyahu aungane na Abass ili kuwakomboa wapalestina.

Ndio maana watanzania waliukataa mfumo wa vyama vingi kwani wanasiasa wetu ni wasanii.


Ndio maana nchi ilikuwa inayumba kisa kuna vikundi ndani ya ccm venye uroho wa madaraka.

Dawa yao ni kuwatosa tu.
 
wanasiasa wanatufanya mabwege sana.

Sioni jipya zaidi ya uroho wa madaraka tu.wale tuliowachukia na waliounda mfumo huu dhaifu na wa kimagumashi ndio hao leo wanaokuja kujidai wanasaidia mabadiliko.

Wale wale waliotupigia na kutuulia ndugu zetu leo hii wanajidai wanasaidia ukombozi.

Hii ni big joke yaani ni kama vile netanyahu aungane na abass ili kuwakomboa wapalestina.

Ndio maana watanzania waliukataa mfumo wa vyama vingi kwani wanasiasa wetu ni wasanii.


Ndio maana nchi ilikuwa inayumba kisa kuna vikundi ndani ya ccm venye uroho wa madaraka.

Dawa yao ni kuwatosa tu.

mwenyekiti wenu alienda na majina matano kwenye note book
 
Unajua maana ya mfumo au unapayuka tu hawa wamekuja kujiunga na mfumo mpya wa kuwatumikia raia sio shetani uko hapo
 
Haahaa eti Netanyahu na Abas waungane kuwakomboa wapalestina!!lakini si walishaungana kuwabomoa Hamas au umesahau the teh!!by the way ungesema tu Netanyahau aungane na Perez (Likud na Labour) hapo sawa maana wako katika mamlaka mmoja...Kuwa makini nimetumia neno mamlaka
 
Mimi nawashauri CCM badala ya kuwatusi na kuwasimanga wanaohama wangekaa chini wakatafakari nini kinatokea, hii hali sio nzuri........mpk ss hatujui ni wangapi watahama, kutoka na kauli ya rafiki yangu mmoja aliye huko CCM alishaniambia huu mpango wa kuhama utaendelea hivi hivi mpk oktober, na wengine watabaki ndani kuvujisha siri........kila nikitafakari ile kauli ya Mwandosya na speech ya Sumaye leo natazamia zaidi mshangao huko mbele.
 
Mtu unajiita meningitis..nlijua utakua vyema kichwani kumbe wapi..mfumo ndo wakuuvunja na kinachofanyika ni kuutia misuko suko mfumo ili uvunjike..kwanzia leo utaanza kusikia ufisadi wa sumaye kutoka kwenu maana ndo zenu
 
Sasa ni zamu ya walutheri wakatoliki wasubiri kwani wakristo ni wao tu.Asante mwalasusa kwa kumleta Sumaye
 
Oil Chafu ina tabia ya kung'ang'ania kwenye nguo lakini ni lazima imwagwe tu.
 
Wanasiasa wanatufanya mabwege sana.

Sioni jipya zaidi ya uroho wa madaraka tu.Wale tuliowachukia na waliounda mfumo huu dhaifu na wa kimagumashi ndio hao leo wanaokuja kujidai wanasaidia mabadiliko.

Wale wale waliotupigia na kutuulia ndugu zetu leo hii wanajidai wanasaidia ukombozi.

Hii ni big joke yaani ni kama vile Netanyahu aungane na Abass ili kuwakomboa wapalestina.

Ndio maana watanzania waliukataa mfumo wa vyama vingi kwani wanasiasa wetu ni wasanii.


Ndio maana nchi ilikuwa inayumba kisa kuna vikundi ndani ya ccm venye uroho wa madaraka.

Dawa yao ni kuwatosa tu.


Kwa hiyo kwako wewe mfumo maana yake ni sura za watu, majina yao au nini??

Unachekesha.
 
Haahaa eti Netanyahu na Abas waungane kuwakomboa wapalestina!!lakini si walishaungana kuwabomoa Hamas au umesahau the teh!!by the way ungesema tu Netanyahau aungane na Perez (Likud na Labour) hapo sawa maana wako katika mamlaka mmoja...Kuwa makini nimetumia neno mamlaka

Baada ya kuwabomoa hamas na palestina ikapata uhuru!!

Ha ha ha ...!
 
Sasa ni zamu ya walutheri wakatoliki wasubiri kwani wakristo ni wao tu.Asante mwalasusa kwa kumleta Sumaye

Hujielewi wewe ndio maana sumaye kasema ccm imejaa udini ukanda na ukabila ndio sera wanayoelewa
 
Sio threats kabisa hao watu kwa watu waerevu. Wanatapatapa tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom