Nawasalimu Mabibi na Mabwana;
Hakika uzi huu unaelimisha jamii japo upo mbali kuwafikia wengi, Lakini upeo wake una lenga wabadiliko huko mbeleni...
kwa mtazamo wangu mie nanusa haraufu ya " Nyumba kusambaratika(familiya devestation), Talaka kuongezeka,Crisis of Civilization,uhasama wa udugu, nk."
Sababu ni ndogo tu yakuwa MfumoMan anakuwa ana miliki wanawake wengi around wakimzunguka kwa kijamii na kiukoo wa karibu,udugu na kimahusiano(1,2.3wifuz). Naye huyo Baba anamudu kuhimili uzito wote na kujitolea huduma.
.. Hapo sasa ukiilete MfumoJike Mmmmh hesabu zitaanza na uchoyo utaibuka, ubagaguzi wa kuchambu-chambua utadiriki kukamilisha malengo ya kike, Yaani mimi ni mimi tu, au yangu ni yangu hapatukwa na ustawii wa jamii. JAMBO ambalo halimo katika kamusi ya Kiafrika kabisa. mmh yasitukute!!
Nitaendelea pakihitajika,