Habarini wakuu, Nahitaji mfanyakazi (mwanamke) wa kuuza duka maeneo ya sinza. Awe na uzoefu wa kuuza duka, Sharti kubwa awe mkazi wa sinza au maeneo ya karibu na sinza.
Saa mbili Asubuhi mpaka Mbili usiku?My Goshh
Kwa mshahara wa kiasi gani.
Maana mfanyakazi kama huyu hatokuwa na muda wa kujiendeleza na wala wa kufanya shughuli nyingine ya kuongeza kipato.
Lazima mshahara usiwe chini ya Laki nne kwa mwezi.
Maana hapo inabidi chakula cha mchana,usiku ajinunulie kwa muda huo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.