Sasa wewe mwenzetu umesoma si ungetudadavulia japo jina tu sie ambao tunasubiri mpaka Bosi amalize kuyasoma!?
Chanzo gazet la mwananchi
Chanzo gazet la mwananchi
Waandishi WetuSasa wewe mwenzetu umesoma si ungetudadavulia japo jina tu sie ambao tunasubiri mpaka Bosi amalize kuyasoma!?
Ata-edit mwali. Alikuwa anawahi kuileta, subiri kidogo. Mzima wewe?
Alikuwa anataka mkalinunue, mkishajua kilichotokea in details, ni nani atanunua Gazeti hilo.................Hebu acheni ubahili....Ebo!
ahahaaa kingast bwana mi sitaki ushaidi nadhani masaki angeua ukoo mzimaUchizi! Ekari mbili za ardhi Singida au Masaki? Smile miwani yangu ina giza, msaada.
ahahaaa kingast bwana mi sitaki ushaidi nadhani masaki angeua ukoo mzima
uchizi! Ekari mbili za ardhi singida au masaki? Smile miwani yangu ina giza, msaada.