sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 21,039
- 48,145
Kumbuka kwamba una mke ma mtoto,
Kumbuka ile amri ya sita mkuu,
Pia ile amri inayosema usitaman kitu, hata mke wa mtu usimtamani kabisa,
Kumbuka lile neno linalosema muikimbie zinaa, na pia tamaa za mwili...
Jiulize kama anakutega hvyo na ameolewa anamme wake hiv anaweza kuwafanyia hvyo wengne wangap?
Mkuuu acha kutumia hisia na mhemko kufanya maamuz fikir mara mbil, hapo ni kazini utapoteza kaz kwastarehe ya dk 10
Hekima za Mungu zikawe nawe, katika hilo
Kumbuka ile amri ya sita mkuu,
Pia ile amri inayosema usitaman kitu, hata mke wa mtu usimtamani kabisa,
Kumbuka lile neno linalosema muikimbie zinaa, na pia tamaa za mwili...
Jiulize kama anakutega hvyo na ameolewa anamme wake hiv anaweza kuwafanyia hvyo wengne wangap?
Mkuuu acha kutumia hisia na mhemko kufanya maamuz fikir mara mbil, hapo ni kazini utapoteza kaz kwastarehe ya dk 10
Hekima za Mungu zikawe nawe, katika hilo