BRO SANTANA
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,845
- 2,249
Habari za mwanzo wa wiki wakuu.Wikiendi ya wiki iliyopita nikikuja na hii stori hapa chini.
Mimi ni kijana ninaefanya kazi ktk kampuni moja kwa miaka 3 sasa na nina mke na mtoto 1.Sasa kuna dada mmoja nilimkuta hapo kazini ambaye ni mzuri na amejaliwa sana sehemu za nyuma yaani ni balaa.
t
Sasa huyu dada alionyesha kunitaka lakini kutokana na msimamo wangu ameshindwa na bado ananisumbua sana na pia yeye ameolewa na ana mtoto 1 yaani nikikaa nae ofisini ananisumbua sana mara anikisi kwa nguvu mara anishikeshike yaani ni shida tena hasa tukiingia kazini weekend ndio balaa maana siku nyingine tunakuwa wawili tu.
Nimevummilia sana sasa naona nachoka na leo usiku amenitumia ujumbe kuwa leo tunapoenda kazini lazima tufanye mapenzi ofisini maana anasema amevumilia sana na yeye amechoka na nisipo kubali atanitangaza kazini na kwa mme wake kwamba ninamsumbua na nimemtishia maisha yake.
Naombeni ushauri wakuu juu ya hili maana nahisi kumkaribisha shetani ofisini.
Sasa jumamosi kama kawaida nikamuaga wife na mtoto alafu nikaondoka.Nilipokuwa njiani mara ikaingia msg kwny cm,kucheck kumbe ni yeye anauliza upo wapi dear mbona unachelewa leo?
Mimi sikujibu msg ila nilipo fika ofisini nikamkuta na nikamsalimia mambo akajibu poa baby za home.
Nikamjibu mke wangu ndiye anayeniita baby na sio mtu mwingine kwa hiyo naomba jiheshimu na fanya kilichokuleta.
Akaamka alipokaa akavuta kiti chake akaja nilipokaa na kunishika bega na kuniita jina langu na kusema naomba niangalie usoni.
Sikumuangalia na nikaendelea na kazi ya kuwasha kompyuta yangu huku nikijifanya simsikilizi kabisa.
Ndipo alipoamua kushika kichwa changu na kunigeuzia kwake na kuniuliza,
Hivi mimi ni mbaya au umeamua tu kunitesa?
Nikamwambia aniache mara moja kabla sijaanza kusambaza zile msg alizotuma akisema atamwambia mme wake kama namsumbua na kwa wafanyakazi wote ili wajue kuwa yeye ananisumbua na nitaenda kumshitaki kwa bosi wetu.
Wakata huo mapaja yake yote yapo wazi na tight ya rangi ya pink naiona vizuri ama kweli jamani mtoto anapaja limenona kama soseji ya pweza.
Akaongea kwa sauti nyororo akasema jaaamaani usifanye hivyo santana naombs msaada wako mi nateseka mwenzio nionee huruma.
Nikamwambia akaendelee na kazi tukimaliza tuondoke wote lakini pale kazini sio sehemu salama kwa kugegedana.
Basi baada ya kumjibu hivyo nilipata bonge la busu na kuniambia asante baby.
Wakati wa kutoka aliniganda kama ruba lakini nikamwambia ngoja nikafikirie nitampa jibu j3 yani leo.Leo kazini amenibana lakini nimembadilikia tena kuwa nitasambaza zile msg kama ushahidi na naomba kuanzia leo kila mtu atulie na ndoa yake.Lakini huyu binti bado anakaza na jioni hii ametuma msg anasema anataka anunue gari mpya anipe ili tuwe tunaendea kazini yani niwe nampitia lakini gari ananipa na kadi anaandika jina langu.
Jamani mimi huyu mwanamke naenda na zile msg kwa mme wake maana mme wake tunafahamiana kidogo.
Ushauri wadau maana naona bado ninamtihani.
Mimi ni kijana ninaefanya kazi ktk kampuni moja kwa miaka 3 sasa na nina mke na mtoto 1.Sasa kuna dada mmoja nilimkuta hapo kazini ambaye ni mzuri na amejaliwa sana sehemu za nyuma yaani ni balaa.
t
Sasa huyu dada alionyesha kunitaka lakini kutokana na msimamo wangu ameshindwa na bado ananisumbua sana na pia yeye ameolewa na ana mtoto 1 yaani nikikaa nae ofisini ananisumbua sana mara anikisi kwa nguvu mara anishikeshike yaani ni shida tena hasa tukiingia kazini weekend ndio balaa maana siku nyingine tunakuwa wawili tu.
Nimevummilia sana sasa naona nachoka na leo usiku amenitumia ujumbe kuwa leo tunapoenda kazini lazima tufanye mapenzi ofisini maana anasema amevumilia sana na yeye amechoka na nisipo kubali atanitangaza kazini na kwa mme wake kwamba ninamsumbua na nimemtishia maisha yake.
Naombeni ushauri wakuu juu ya hili maana nahisi kumkaribisha shetani ofisini.
Sasa jumamosi kama kawaida nikamuaga wife na mtoto alafu nikaondoka.Nilipokuwa njiani mara ikaingia msg kwny cm,kucheck kumbe ni yeye anauliza upo wapi dear mbona unachelewa leo?
Mimi sikujibu msg ila nilipo fika ofisini nikamkuta na nikamsalimia mambo akajibu poa baby za home.
Nikamjibu mke wangu ndiye anayeniita baby na sio mtu mwingine kwa hiyo naomba jiheshimu na fanya kilichokuleta.
Akaamka alipokaa akavuta kiti chake akaja nilipokaa na kunishika bega na kuniita jina langu na kusema naomba niangalie usoni.
Sikumuangalia na nikaendelea na kazi ya kuwasha kompyuta yangu huku nikijifanya simsikilizi kabisa.
Ndipo alipoamua kushika kichwa changu na kunigeuzia kwake na kuniuliza,
Hivi mimi ni mbaya au umeamua tu kunitesa?
Nikamwambia aniache mara moja kabla sijaanza kusambaza zile msg alizotuma akisema atamwambia mme wake kama namsumbua na kwa wafanyakazi wote ili wajue kuwa yeye ananisumbua na nitaenda kumshitaki kwa bosi wetu.
Wakata huo mapaja yake yote yapo wazi na tight ya rangi ya pink naiona vizuri ama kweli jamani mtoto anapaja limenona kama soseji ya pweza.
Akaongea kwa sauti nyororo akasema jaaamaani usifanye hivyo santana naombs msaada wako mi nateseka mwenzio nionee huruma.
Nikamwambia akaendelee na kazi tukimaliza tuondoke wote lakini pale kazini sio sehemu salama kwa kugegedana.
Basi baada ya kumjibu hivyo nilipata bonge la busu na kuniambia asante baby.
Wakati wa kutoka aliniganda kama ruba lakini nikamwambia ngoja nikafikirie nitampa jibu j3 yani leo.Leo kazini amenibana lakini nimembadilikia tena kuwa nitasambaza zile msg kama ushahidi na naomba kuanzia leo kila mtu atulie na ndoa yake.Lakini huyu binti bado anakaza na jioni hii ametuma msg anasema anataka anunue gari mpya anipe ili tuwe tunaendea kazini yani niwe nampitia lakini gari ananipa na kadi anaandika jina langu.
Jamani mimi huyu mwanamke naenda na zile msg kwa mme wake maana mme wake tunafahamiana kidogo.
Ushauri wadau maana naona bado ninamtihani.