Mfanyakazi huyu ni kero kubwa sana chuo kikuu cha Tumaini

kabila01

JF-Expert Member
Apr 21, 2009
4,235
4,949
Habari wana jamii
Nimejitokeza na kero hii ambayo imekua ikiwaesa sana wanachuo wa chuo kikuu cha Tumaini Iringa
Kuna mfanyakazi mmoja anafanya kazi ya kutoa transcript za matokeo pale chuoni, kwa kweli dada huyu amekua ni kero sana kutokana na huduma anayoitoa kwa wananchuo.
Anafanya kazi kama vile ofisi ile ni ya mzazi wake
Mtu anafunga safari kutoka dar au Arusha kuja kuchukua cheti chake cha matoke, shughuli inakuja akufika pale ofisini. kila ukienda pale unaambiwa njoo kesho hadi wiki nzima inaisha mtu hajapata cheti chake
pia hata majibu yake ni ya kukatisha tamaa kabisa na ya maudhi.
wanachuo wengi sana utawakuta wapo nje ya ofisi ile kila siku wanalalamika na kupigwa na jua pamoja na njaa
Watu wanavyoongea wanadai kiburi cha dada huyu kapewa na mtu mwenye cheo kikubwa sana pale chuon ndo maana anawaona wananchuo kama mijibwa pori
Tunamuomba huyo mkubwa anaempa kiburi ampe counselling huyu dada vinginevyo next time nae tunamtaja coz data tunazo na tunamfaham
atu wananhitaji huduma nzuri na sio kuwekana kwenu kusiwatese wengine
 
JF itakusaidiaje hapa? Fikisha malalamiko yako kwa ngazi husika. Penye uzia penyeza rupia.
 
Huyo mtongozeni mumdanganye na mijipesa kuliko ya huyo mzee wake. Mkimpata mnampa mimba, hakuna cha ndomu then mnamtelekeza.
Kibur chote kitaisha.
Mchango ndo huo
 
Huyo mtongozeni mumdanganye na mijipesa kuliko ya huyo mzee wake. Mkimpata mnampa mimba, hakuna cha ndomu then mnamtelekeza.
Kibur chote kitaisha.
Mchango ndo huo

Huu ushauri ni kama vile nguvu za giza.
 
mkuu nadhani hapa unamwonea dada wa watu bureeeee....kama kibri anapewa na huyo mkuu wake...ishu ni ku-deal na mwenye mbwa na sio huyo mbwa wake...sema ni boss gani anamtia kiburi kabinti kake fulani hapo tumaini campus ya iringa ila na yeye boss tumsemeeeee hata kwa wakubwa kuliko yeye ili achukue hatua za kumwambia mbwa wake aache upuuzi kwenu ninyi wasomi na marais watarajiwa wa bongolala country yetu.
 
mkuu nadhani hapa unamwonea dada wa watu bureeeee....kama kibri anapewa na huyo mkuu wake...ishu ni ku-deal na mwenye mbwa na sio huyo mbwa wake...sema ni boss gani anamtia kiburi kabinti kake fulani hapo tumaini campus ya iringa ila na yeye boss tumsemeeeee hata kwa wakubwa kuliko yeye ili achukue hatua za kumwambia mbwa wake aache upuuzi kwenu ninyi wasomi na marais watarajiwa wa bongolala country yetu.

jina lako tu ni kasheshe mheshimiwa ila maneno yako yako kamili
 
Inategemea anategeneza transcripts za watu wangapi.kama ni wengi lazma mpate hiyo kero, transcript inabidi iandaliwe kimakini sana na si kwa pupa.
 
Penye uzia penyeza rupia.

Nd. Masanilo,
Sisi Watanzania sio watu serious kabisa na kwahivyo sijui huu ufisadi kama utakwisha hapa nchini. This is a serious issue huyu ndugu yetu kaleta hapa ukumbini na sisi tunatania. Hata kama anatoa transcripts 100 kwa siku, hawezi kuwanyanyasa wananchi katika nchi yao. Kwanza mtu sio lazima aende mpaka huko Iringa ili kuchukuwa transcripts zake. Hakuna njia nyengine kwani? Why are we stunt of imaginations?
Mwanangu huyu hapa chini anajibiwa alipokuwa akiomba transcripts zake wakati yupo hapa DSM. Angelikuwa Tumaini ingelibidi apande ndege mpaka Canada.

"Hello Lampart,

I have received from student accounts your correspondence with them regarding your request for official transcripts.
Use this form if you are an Undergraduate Student requesting official transcripts: http://www.registrar.uwaterloo.ca/forms/index.html - click on forms and then transcript request.
Cost of each transcript is $10.00 (GST included). If you are requesting that your transcript(s) be faxed or sent by courier, additional mailing costs apply (Fax: $5 if in Ontario, $10 outside Canada; Courier: $10 if in Ontario, $20 other Canadian provinces,$25 anywhere in the United State, $35 International). Please note transcripts will require 7 days to process following receipt of completed form and payment.
You can fax the completed signed form to 519-746-2882.
As our guarantee is one week from receipt of completed form with payment, we will do our best to process your request sooner but please note there is no guarantee.
Thank you and have a great day!

Transcript Clerk"


Ishawekwa wazi kabisa bei ya posta, bei ya courier service na bei ya fax. Sasa hapo panakuringiana tena? Ipo haja uende mpaka Tumaini?

Nd. Masalino unasema apenyeze rupia, sasa ndio tunamueleza nini? This is a sign of a corrupt mind similar to that of Chenge, Rostam, etc, etc.... Huu unaoupendekeza wewe sio ufisadi nao???
Anaepokea hongo ni fisadi na anaetoa hongo pia ni fisadi. In fact huyu anaetoa ndio fisadi zaidi kuliko huyo Chenge anaepokea!!!
Vita ya ufisadi ni lazima ilenge mpokeaji hongo na mtowaji hongo ili ifuzu. Kupinga kupokea hongo alone is meaningless ikiwa watu kama Nd. Masanilo wapo tayari kutoa hongo!!!
 
Nd. Masanilo,
Sisi Watanzania sio watu serious kabisa na kwahivyo sijui huu ufisadi kama utakwisha hapa nchini. This is a serious issue huyu ndugu yetu kaleta hapa ukumbini na sisi tunatania. Hata kama anatoa transcripts 100 kwa siku, hawezi kuwanyanyasa wananchi katika nchi yao. Kwanza mtu sio lazima aende mpaka huko Iringa ili kuchukuwa transcripts zake. Hakuna njia nyengine kwani? Why are we stunt of imaginations?
Mwanangu huyu hapa chini anajibiwa alipokuwa akiomba transcripts zake wakati yupo hapa DSM. Angelikuwa Tumaini ingelibidi apande ndege mpaka Canada.

"Hello Lampart,

I have received from student accounts your correspondence with them regarding your request for official transcripts.
Use this form if you are an Undergraduate Student requesting official transcripts: http://www.registrar.uwaterloo.ca/forms/index.html - click on forms and then transcript request.
Cost of each transcript is $10.00 (GST included). If you are requesting that your transcript(s) be faxed or sent by courier, additional mailing costs apply (Fax: $5 if in Ontario, $10 outside Canada; Courier: $10 if in Ontario, $20 other Canadian provinces,$25 anywhere in the United State, $35 International). Please note transcripts will require 7 days to process following receipt of completed form and payment.
You can fax the completed signed form to 519-746-2882.
As our guarantee is one week from receipt of completed form with payment, we will do our best to process your request sooner but please note there is no guarantee.
Thank you and have a great day!

Transcript Clerk"


Ishawekwa wazi kabisa bei ya posta, bei ya courier service na bei ya fax. Sasa hapo panakuringiana tena? Ipo haja uende mpaka Tumaini?

Nd. Masalino unasema apenyeze rupia, sasa ndio tunamueleza nini? This is a sign of a corrupt mind similar to that of Chenge, Rostam, etc, etc.... Huu unaoupendekeza wewe sio ufisadi nao???
Anaepokea hongo ni fisadi na anaetoa hongo pia ni fisadi. In fact huyu anaetoa ndio fisadi zaidi kuliko huyo Chenge anaepokea!!!
Vita ya ufisadi ni lazima ilenge mpokeaji hongo na mtowaji hongo ili ifuzu. Kupinga kupokea hongo alone is meaningless ikiwa watu kama Nd. Masanilo wapo tayari kutoa hongo!!!

Ndugu yangu Lampart,
Najua ni mwenye uchungu wa nchi yako, kwani unaona kila kitu hakiendi nchini. Ni ugeni tu huo unakusumbua, lakini baadae utazowea kama tulivyozowea wengine. Wenzio tulikuwa tukipata pressure tukiona mambo kama hayo, lakini sasa tushaingia mjini na wala hayatupi shida.
Pole sana ndugu yangu!
Hayo unayoyaeleza ni ya kweli, lakini hapa tupo Bongoland na sio Canada!
Unataka hizo transcripts zipelekwe kwa Posta unadhani zitafika? Postman atadhania mnapesa ndani na bahasha itafunguliwa na halafu itatupwa.
Courier service????? Unazungumza nini ndugu yangu? Huyo courier mwenyewe ndio wa mwanzo kuchana bahasha. I am not joking - take it from someone who just experienced it few days ago!
Fax????? Unajua kama siku hizi hatuna umeme? Hata huko Tumaini ukiwepo umeme je huko inakokuenda fax ikiwa hakuna umeme fax itafika?
Hapa kwetu ni mazingira mengine na kwahivyo hio mifano yako ya Canada hapa haifai kabisa. Hapa tunapaita Bongoland na ushauri wa Nd. Masanilo ni sawasawa kabisa. Bila ya rupia hapa hufanyi lako hata kidogo!!!
Ikiwa kutia rupia kidogo ili lako linyoke ni ufisadi, basi nchi nzima ni mafisadi!
 
Watu wa jinsi hii wapo wengi hata kwenye Bar za mitaani..! Simama kwa miguu yako na mweleze kero zako. Akiendelea toa taarifa kwa boss wake, na bosi wake pia akileta ujinga unamtafutia boss wake, Acheni kuzubaisha wajinga wa jinsi hiyo, Wengine wanaleta dharau kwasababu wanatembea na maboss wao na wengine kwasababu wanahitaji kitu kidogo ( rushwa ) na wengine kama mimi wanataka tu waonekane na wao kwamba wanaweza kukulaza guest kwa wiki nzima ukila mahindi ya kuchoma ili umheshimu.
 
Huyo mtongozeni mumdanganye na mijipesa kuliko ya huyo mzee wake. Mkimpata mnampa mimba, hakuna cha ndomu then mnamtelekeza.
Kibur chote kitaisha.
Mchango ndo huo


Sasa ndugu yangu kwa nini umtelekeze mwanao? Pengine ni adhabu nzuri kumpatia huyo mama mtoto, Je huoni kuwa mwanao atataabika kutokuwa karibu na baba yake? Halafu huofii magonjwa kwa hao unaowashauri wakampe mimba huyo binti?
 
Huyo mtongozeni mumdanganye na mijipesa kuliko ya huyo mzee wake. Mkimpata mnampa mimba, hakuna cha ndomu then mnamtelekeza.
Kibur chote kitaisha.
Mchango ndo huo

Duh.. naukimwi je? au unapima kwanza kabla ya kumpa hiyo mimba?
 
Bila ya rupia hapa hufanyi lako hata kidogo!!!

[FONT=courier, monaco, monospace, sans-serif]Aaah!!
Hata Muungwana naona anakuunga mkono!!!!!!!!!!!!!!!!
[/FONT] __._,_.___
1 of 1 File(s)
audio16x16.gif
Muungwana.mp3
 
Habari wana jamii
Nimejitokeza na kero hii ambayo imekua ikiwaesa sana wanachuo wa chuo kikuu cha Tumaini Iringa
Kuna mfanyakazi mmoja anafanya kazi ya kutoa transcript za matokeo pale chuoni, kwa kweli dada huyu amekua ni kero sana kutokana na huduma anayoitoa kwa wananchuo.
Anafanya kazi kama vile ofisi ile ni ya mzazi wake
Mtu anafunga safari kutoka dar au Arusha kuja kuchukua cheti chake cha matoke, shughuli inakuja akufika pale ofisini. kila ukienda pale unaambiwa njoo kesho hadi wiki nzima inaisha mtu hajapata cheti chake
pia hata majibu yake ni ya kukatisha tamaa kabisa na ya maudhi.
wanachuo wengi sana utawakuta wapo nje ya ofisi ile kila siku wanalalamika na kupigwa na jua pamoja na njaa
Watu wanavyoongea wanadai kiburi cha dada huyu kapewa na mtu mwenye cheo kikubwa sana pale chuon ndo maana anawaona wananchuo kama mijibwa pori
Tunamuomba huyo mkubwa anaempa kiburi ampe counselling huyu dada vinginevyo next time nae tunamtaja coz data tunazo na tunamfaham
atu wananhitaji huduma nzuri na sio kuwekana kwenu kusiwatese wengine

eti mijibwa pori! duh kweli inabidi huyo -she- abadilike huh
 
Hiki ndiyo chuo kilichoongeza ada ghafla, ongezeko la asilimia 60.
Mkuu wa chuo (ambaye ndiye mkuu wa kanisa la KKKT) ametamka kwamba, asiyetaka aache!
Nasikia ongezeko hili ni kufidia gharama za umeme na maji.
...Mtakooooooma!

Gharama ya hostel ni kiasi gani na upatikanaji wake ukoje kwa Dar-es-Salaam?
 
Na mimi nlikwisha msikia huyo mama kwa mtu fulani alimnyanyasa sana sana kama uongozi unasoma blog hii wamwangalie kwa vizuri huyo mtu lakini wasimuonee tu.
 
Back
Top Bottom