Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,290
- 6,340
Nadhani amefukuzwa kazi kwa sababu ya ulevi, na kitendo chakuchana hicho kitabu ni kwa sababu ya ulevipia.
Kuchana kitabu sidhani kama ni sababu ya kumwachisha kazi mana akishinda kesi inayo mkabili itabidi arudishwe kazini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuchana kitabu sidhani kama ni sababu ya kumwachisha kazi mana akishinda kesi inayo mkabili itabidi arudishwe kazini.
Sent using Jamii Forums mobile app