Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,585
- 22,184
Mkoani Morogoro kuna mfanyakazi wa halmashauri anadaiwa kuchoma kitabu cha Korani, katika hali ambayo si yakawaida anashikiliwa na jeshi la polisi na amenyimwa dhamana!
Tukio hili linaonesha serikali ndiye mlalamikaji! Hii si kawaida kwani huko nyuma waislamu walichoma moto kanisa la KKKT Temeke Dar es Salaam na serikali haikuwa mlalamikaji kwenye tukio hilo. Hivyo lilipita tu na kanisa kujigharamia ujenzi.
Kuna matukio ya Kigogo na mengine mengi tu ambayo yalifanywa dhidi ya wakristo lakini serikali haikuwa mlalamikaji!
Ni nini kimenfanya waziri ambaye naye ni muislamu kuamuru harakaharaka hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya mfanyakazi huyo.
Tukio hili linaonesha serikali ndiye mlalamikaji! Hii si kawaida kwani huko nyuma waislamu walichoma moto kanisa la KKKT Temeke Dar es Salaam na serikali haikuwa mlalamikaji kwenye tukio hilo. Hivyo lilipita tu na kanisa kujigharamia ujenzi.
Kuna matukio ya Kigogo na mengine mengi tu ambayo yalifanywa dhidi ya wakristo lakini serikali haikuwa mlalamikaji!
Ni nini kimenfanya waziri ambaye naye ni muislamu kuamuru harakaharaka hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya mfanyakazi huyo.