Mfanyabiashara wa utalii ajinyonga Moshi

Kisa kuogopa aibu anaiingiza familia kwenye kipindi kigumu zaidi na laana.

Angeuza tu mali zake aanze upya.
 
Kumentain namba moja kazi sana asikwambie mtu
 
Msikimbilie kuamini kwamba ni madeni yamepelekea kifo chake. Dig deeper.
Juzi kati padre kule Mafinga alitekwa polisi wakasema kisa ni madeni, polisi hao hao baadaye wamesema padre hana akili nzuri na wameamua kumfutia kesi.
Polisi sio wakuwaamini bila kuangalia upande wa pili.0
 
Sana mkuu, usione mtu ana pesa na maisha mazuri mambo ni mengi, huyu mwamba nilikua namjua. Nawaza kwa nini asingeuza baadhi ya mali zake alipe madeni kama chanzo ni hicho.
Umasikini ni laana ukiuza mali unafilisika na madeni yanazidi. Watu wengi tunaishi na matatizo ya afya ya akili ila tunatofautiana tu hatua za ugonjwa.

Apumzike kwa amani tajiri.
 
🤔🤔🤔🤔 Dipresheni.
 
Siasa imeathiri sana ubongo wako.
 
Ukiona umeanza kuuza mali zako ulipe madeni jua unaenda kufilisika Yani kuchacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…