bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
Kuna mtu anaishiaga kusema kuna watu walikuwa wanakusanya kodi zetu huko China na sasa Wamebadilisha jina tunawajua
Kuwajua tu natusaidiaje sisi?
Kuna mtu anaishiaga kusema kuna watu walikuwa wanakusanya kodi zetu huko China na sasa Wamebadilisha jina tunawajua
Mnufaika wa bishara za huyu bwanaHii kitu ya Zamani alaf chumvi 50/50....alaf Kuna mtu asiyemjua Saad ???kama sisi tunajua mnategemea kwenye system hawajui ?tunajifurah tu ...Juzi kuna Gazeti liliandika Kuhusu izi Mambo ....Kesho yake tuuu..."TUNAOMBA RADHI" maninaa
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Ilikuwa ukimgusa huyu jamaa zinapigwa simu kutoka kwa watu wakubwa nchini sijui sasa hivi?Wakulaumiwa ni vyombo vyetu vya usalama, viko weak kiasi jamaa ya aina hii wanaweza kufanya watakalo.
Tusipo badili mfumo wa utawala basi tutegemee mazalio mengi ya aina hii.
Jpm atake action kwa huyu mtu kikwete alikuwa anamlea.Wana JF mimi niliwahi kuandika hapa JF kuhusu huyu jamaa amefanya mambo mengi shida ni kuwa anapata sapoti kubwa kutoka kwa RIZ1 naombeni mfuatilie.
Amefanya uhalifu wa kupindukia na serikali hii pamoja na viongozi wakuu wa taasisi muhimu kama TRA commissioner anamfahamu vizuri huyu jamaa na anamsupport, IGP anamsupport na wengine katika idara nyeti.
Labda wana JF tuambiane nini tufanye kukabiliana na uhalifu wa huyu jamaa maana TRA hawawezi kumfuata maana commissioner general ni mtu wake IGP hivyo hivyo sasa tunafanyaje.
Sasa kama ndio wanamlea bashite unadhani hapo kuna kazi.Kikwete alimlea sana huyu mtu kisa ni mbia wa marafiki zake Wakina Rostam ambao ndiyo wapiga dili wakubwa Jpm tenda kazi kwa huyu mtu ni kipolo kilichobaki kwenye kazi yako.
Kila mtu anajua mkuu hadi Baba Bashite.Duuuuu kumbe hawa jamaa walilipotiwa zamani aisee, hawajakamatwa mpaka sasa?
Mkuu kama ni kweli umetishaHakuna cha majungu wala nini.
Hii habari ni ya kweli. Ninawaomba waandishi wa habari wale ambao huwa hawana tamaa ya mlungula wafuatilie haya mambo polisi na kutafuta wale wahusika wote waliopigwa risasi ili ukweli ujulikane kwa umma. Watu wa aina hii hawatakiwi Tanzania hii.
Ndiyo maana tunahitaji rais atoke tena chama kingine ili kwanza awashughulikie criminals wote na wahamishwe nchini. Kwanza kabisa waweke katika katiba mpya kuwa investor yeyote akihusika na criminal acticvities apigwe PI na mali zake zichukuliwe na serikali. Mbona huko nchi za wengine PI zipo, Tanzania ni shamba la bibi au.
Watanzania tuamke, saa ya ukombozi ni sasa! Nimeumia sana kwa kusoma habari hii.
Goooo night with tears! I love my country!!