Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
Madeni ni kawaida lakiniMadeni yanaleta shida.
Madeni ni kawaida lakiniMadeni yanaleta shida.
Yeah sure.usipotulia utaanza kutangaza hovyo na kuomba msaada hata kwa wasio na msaada.Madeni ni kawaida lakini
Yeah sure.usipotulia utaanza kutangaza hovyo na kuomba msaada hata kwa wasio na msaada.
Mpe huyoona uyu mjinga, na wewe elezea imekuaje ukawa fukara ilhali wanaume wenzio wana ela
Hujui Magufuli hawapendi matajiri?
Kuzaliwa maskini ni laana sana..Aliwaita wataishi kama mashetani kutoka umalaika
Huyuu SIO YULE MZEE WA SHISSSSS...ALIEKUWA NA MABP PALE AIRPORT NA MWENGE EMBU NIJUE KABLA SIJAENDA KUMWOMBEA MSAADA KWA MHMfanyabiashara Patrick Moshi maarufu kwa jina la Patco aliekuwa anamiliki maduka lukuki pamoja na vituo vya mafuta katika jiji la Dar es Salaam amemwomba Rais Magufuli kuingilia kati mgogoro wake na taasisi moja ya fedha hapa nchini.
Akiongea na EFM jinini Dar es Salaam amesema mgogoro huo uliodumu kwa zaidi ya miaka mitatu umemsababishia hasara ya zaidi ya Bilioni 4 napia amepata madhara ya kiafya ikiwemo kupata ugonjwa wa kiharusi. Amemuomba Rais kuingilia mgogoro huo ili aweze kupata haki yake.
ona uyu mjinga, na wewe elezea imekuaje ukawa fukara ilhali wanaume wenzio wana ela
MKUUU KACHEXEA MAISHA MWACHE YAMCHEXEE JAMAA ALIKUWA NA HELA SEMA ALIZUNGUKWA NA WAHUNI KILA KONA MALIFIST AMBAOO WALIPOONA JAMAA AMEANZA NYANGANYWA KIMJA KIMOJA WAKAMKIMBIA WOTE TRUST MUnamfamu mkuu?
KAMAA N HUYUU AMECHOKAAA BALAA ALIKUWA NA MAGARI MEKUNDU TU FULL TINTED
YUKO HAPA TANKIBOVU KUNA SEHEMU WANACHINJA KITIMOTO KILA ASBH ANASHINDA KULA KONGOROO
ona uyu mjinga, na wewe elezea imekuaje ukawa fukara ilhali wanaume wenzio wana ela
Akili kama za bosi wako Magufuli...Huyu jamaa alikuwa ni fisadi mkubwa Afilisiwe kabisa,pia atolee maelezo mali zake alizipataje pataje from a to z.
Huwezi ukawa tajiri kwa kumchukia mwenye pesa.Huyu jamaa alikuwa ni fisadi mkubwa Afilisiwe kabisa,pia atolee maelezo mali zake alizipataje pataje from a to z.
Hatuchukii wenye pesa uzalendo kwanza,jamani tuwe wazalendo,tuweke taifa letu mbere kwanza.watanzania wote wanaitaji maendeleo na maendeleo hayana chama.Huwezi ukawa tajiri kwa kumchukia mwenye pesa.
Halafu Mosha? na alivyo na negative attitute kwa hilo kabila!! Pole sana...Labda atafanya ili kujiondoa katika fikra zetu
Mane.. Leo umekula nini Mama?Labda amsikilize mkeo!