sawariya
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 388
- 359
- Thread starter
- #21
Mwingine anapenda alie juu ashushwe chini,yaani bora tukose woteMina nakupendea hiki tu..huwa hupepesi..aibu sana dume zima kupiga mbinja utajiri wa mwanaume mwenzake..mm ht hawa wenye gari zao wakitumwagiaga maji road maskini naona sawa tu..utajiri unatafutwabkwa ngv kubwa sana na kujibana sana .anakuja ndezi pori anaandika ujinga!