SPECIAL TMN
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 1,111
- 803
Mkuu hujamuelewa mhusika ungesoma vizuri kuna kipengele cha kuvunja oda kwa mchina kaambiwa atalipa faini ya dola 18000 plus na hiyo millioni 129 arudishe je, huo mkataba uliosainiwa na wakakubaliana una maana gani sasa au kwasababu yeye ni kigogo serikalini. Kuna vitu vingine mtu anafosi kwasababu yupo kwenye cheo fulani na ndo maana hatuwezi kwenda popote pale kwan huo mkataba si ulisainiwa na mtu kaweka oda je unasitisha oda na ulipe faini pamoja na kurudisha hela uliyowekewa au maisha yako yaende na maji na pia uangalie hustling ulizopiga mapaka umekuwa level za kuitwa millionea ila kama huo umillionea uliupata kwa mseleleko baridi, utalipa faini pamoja na kurudisha pesa.Huyo mfanya biashara ni mpumbavu tu.
Yaani anaharibu maisha yake kwasababu ya 125 milioni, alafu anajiita milionea..🤔