WAZIWAZI
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 1,807
- 1,564
kwa hiyo mbona mnapiga makelele mitandaoni wakati kucha mnaiga wanayofanya?kazi kubwa mnayoifanyahamstahili kulipwa buku saba kabisa, kwani mkulu anavyeo vingapi?
kwa hiyo mbona mnapiga makelele mitandaoni wakati kucha mnaiga wanayofanya?kazi kubwa mnayoifanyahamstahili kulipwa buku saba kabisa, kwani mkulu anavyeo vingapi?
muulize mkulu anayesema hataki watu wawe na vyeo viwili viwili wakati yeye ana vingikwa hiyo mbona mnapiga makelele mitandaoni wakati kucha mnaiga wanayofanya?
Naomba kujua vyeo alivyonavyo prof jumanne maghembeMch. Msigwa ni;
{1}Mbunge
{2}Mjumbe wa Mkutano Mkuu
Chadema
{3}Mjumbe wa Baraza kuu
Chadema
{4}Mjumbe wa Kamati Kuu
Chadema
{5}Mwenyekiti wa Chadema
Mkoa
{6}Mwenyekiti wa Kanda
baada ya wagombea
wengine kuenguliwa!
{7}Waziri kivuli Maliasili na
Utalii.
{8}Mchungaji.
"RAISI APUNGUZIWE
MADARAKA, NA WAKUU WA
MIKOA PIA WANA VYEO VINGI
SANA WAPUNGUZIWE" by
Peter Msigwa 2015.
Sasa hapo wa kupunguziwa
ni yupi? Wapinzani
wanafanya siasa za ovyo
sana!!.
C&P
Ni ya kweli haya??
Kwa hiyo CHADEMA inaiga mambo ya CCM huu ndio ulofamuulize mkulu anayesema hataki watu wawe na vyeo viwili viwili wakati yeye ana vingi
sijui kama ni hvyo labda muulize yule kiongoz mstaafu ye ndo anajua definitionya ulofaKwa hiyo CHADEMA inaiga mambo ya CCM huu ndio ulofa
Si kweli.Khasim Majaliwa
Mbunge
Waziri Mkuu
Katibu wa vikao vya serikali
Kiongozi wa Serikali Bungeni
Mwenyekiti Mawaziri
Mtendaji mkuu wa Serikali
Mjumbe Kamati Kuu CCM Taifa
Mjumbe Kamati CCM Mkoa
Mjumbe Kamati CCM Wilaya
Mjumbe Kamati Tendaji CCM Taifa
Mwenyekiti CCM Jimbo/Wilaya
Mwenyekiti Mfuko wa Maafa Taifa
etc...
MagufMch. Msigwa ni;
{1}Mbunge
{2}Mjumbe wa Mkutano Mkuu
Chadema
{3}Mjumbe wa Baraza kuu
Chadema
{4}Mjumbe wa Kamati Kuu
Chadema
{5}Mwenyekiti wa Chadema
Mkoa
{6}Mwenyekiti wa Kanda
baada ya wagombea
wengine kuenguliwa!
{7}Waziri kivuli Maliasili na
Utalii.
{8}Mchungaji.
"RAISI APUNGUZIWE
MADARAKA, NA WAKUU WA
MIKOA PIA WANA VYEO VINGI
SANA WAPUNGUZIWE" by
Peter Msigwa 2015.
Sasa hapo wa kupunguziwa
ni yupi? Wapinzani
wanafanya siasa za ovyo
sana!!.
C&P
Ni ya kweli haya??
Ni shidaMch. Msigwa ni;
{1}Mbunge
{2}Mjumbe wa Mkutano Mkuu
Chadema
{3}Mjumbe wa Baraza kuu
Chadema
{4}Mjumbe wa Kamati Kuu
Chadema
{5}Mwenyekiti wa Chadema
Mkoa
{6}Mwenyekiti wa Kanda
baada ya wagombea
wengine kuenguliwa!
{7}Waziri kivuli Maliasili na Utalii.
{8}Mchungaji.
"RAISI APUNGUZIWE MADARAKA, NA WAKUU WA MIKOA PIA WANA VYEO VINGI SANA WAPUNGUZIWE" by Peter Msigwa 2015.
Sasa hapo wa kupunguziwa ni yupi? Wapinzani wanafanya siasa za maji ya chumvi