Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,786
Tujadili kiutu uzima kwakuwa pepo halisi wala jehanum hatujazifikia..
Ni swala zima la kufika ama kutofika kileleni (raha na kero yake)
Hebu pata habari za vijana wanaopenda kujichua raha wanayopata wanapojifikisha kileleni... Ama Kina mama na wadada wanaotumia ile midoli ngono... Ile raha ile... Haina mfano wake....!
Achana na hao pepo zipo za aina tatu na jehanum pia.
. Pepo ya kwanza... Mwanaume akiwa na mwanamke wakati wakifanya ngono... Kilele cha mwanaume humtoa katika dunia hii na kumpa raha ya ajabu kabisa isiyomithilika.... Raha ile hutokea kwa sekunde chache tuu na kama ikikaa japo dakika wengi wangekufa kwa utamu
. Pepo ya pili ni ya mwanamke... Pale anapokuwa faraghani na mtu wake... Akasuguliwa akasugulika... Vile vilio vile hasa kile cha mwisho baadhi hufikia hatua ya kupoteza fahamu akimpata fundi.... Bahati mbaya sana raha ile ni ya sekunde chache tuu
. Pepo ya tatu ambayo ndio pepo kamili ni pale wawili wapendao wanapokutana kileleni pamoja... Raha ile ni pepo ya siri hapewi kila mtu.,... Ukisikia watu wameonja pepo duniani ndio hawa....
Jehanum ni pale mmoja anapofika kileleni huku akimwacha mwenzake yuko katikati ya kilima.. Mtu anahangaika utafikiri roho inataka kumtoka
Hiyo ni mifano michache ya pepo, tena kwa sekunde chache tuu... Sasa chukulia pepo halisi ya milele ilivyo... Kama umenielewa sidhani kama utatamani kuendelea kutenda dhambi ili uikose pepo na kwenda jehanum
Ni swala zima la kufika ama kutofika kileleni (raha na kero yake)
Hebu pata habari za vijana wanaopenda kujichua raha wanayopata wanapojifikisha kileleni... Ama Kina mama na wadada wanaotumia ile midoli ngono... Ile raha ile... Haina mfano wake....!
Achana na hao pepo zipo za aina tatu na jehanum pia.
. Pepo ya kwanza... Mwanaume akiwa na mwanamke wakati wakifanya ngono... Kilele cha mwanaume humtoa katika dunia hii na kumpa raha ya ajabu kabisa isiyomithilika.... Raha ile hutokea kwa sekunde chache tuu na kama ikikaa japo dakika wengi wangekufa kwa utamu
. Pepo ya pili ni ya mwanamke... Pale anapokuwa faraghani na mtu wake... Akasuguliwa akasugulika... Vile vilio vile hasa kile cha mwisho baadhi hufikia hatua ya kupoteza fahamu akimpata fundi.... Bahati mbaya sana raha ile ni ya sekunde chache tuu
. Pepo ya tatu ambayo ndio pepo kamili ni pale wawili wapendao wanapokutana kileleni pamoja... Raha ile ni pepo ya siri hapewi kila mtu.,... Ukisikia watu wameonja pepo duniani ndio hawa....
Jehanum ni pale mmoja anapofika kileleni huku akimwacha mwenzake yuko katikati ya kilima.. Mtu anahangaika utafikiri roho inataka kumtoka
Hiyo ni mifano michache ya pepo, tena kwa sekunde chache tuu... Sasa chukulia pepo halisi ya milele ilivyo... Kama umenielewa sidhani kama utatamani kuendelea kutenda dhambi ili uikose pepo na kwenda jehanum