Sooth
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 3,922
- 5,628
Hoja ya msingi.Ni vyema nao watozwe. Hata hivyo,rate itakuwa kidogo sana kulingana na matumizi madogo ya mafuta. Pia itafidia madhara ya uharibifu wa mazingira kutokana na "greenhouse emission".
Hoja ya msingi.Ni vyema nao watozwe. Hata hivyo,rate itakuwa kidogo sana kulingana na matumizi madogo ya mafuta. Pia itafidia madhara ya uharibifu wa mazingira kutokana na "greenhouse emission".
Mkuu fanya utafiti wa kina kuhusu road license, ulizia hata kwa jirani zetu. Utakuja kugundua kuwa tatizo lipo kwa watendaji hazina na TRA. Hawataki kuumiza vichwa kupata mfumo mzuri usio gandamizi na utakaoiongezea serikali mapato. Serikali inahitaji mapato!Kupandisha bei ya mafuta kuna madhara makubwa kiuchumi kuliko unavyodhani, hivyo sio njia sahihi kuingiza road licence kwenye mafuta. Mpaka sasa karibu asilimia 50 au zaidi ya bei ni kodi. Vile vile mafuta ni nishati ambayo inatumiwa na viwanda, majumbani na katika uzalishaji mwingine usiohisisha matumizi ya barabara, kwa msingi huo road licence lazima iendelee kuwapo na huu ni mfumo wa dunia nzima.
Hata mm siipendi hii tozo, bora wangeweka kwenye mafuta tuu, hawa wanaojiita wasomi sijui wanafikiria kwa kutumia kiungo gani mwilini, eti wasomi, ha ha haaa amkeni "wasomi" wa TRAKama mimi ningelikuwa ndo mkuu wa hii kaya Tanzania ningelifuta "Road Licence" mara moja! Sababu, inaikosesha serikali mapato halali na makubwa.
Leo nimetembelea machinjio ya magari mabovu nikiwa na rafiki yangu akitafuta vipuri kwa ajili ya daladala lake. Nimekuta daladala nyingi zimechinjwa, na zinauzwa kama vipuri kwa wahitaji.
Nilivyojaribu kudadisi, wengi wanachinja baada ya kushindwa kulipia Road License kutokana na kulimbikiza kutokana na ajari au gari kiharibika hivyo kuchelewa kilitengeneza kwa wakati na hivyo kujikuta deni la road license kuwa kubwa.
Nimejaribu kuumiza kichwa kuona hivi kama hiyo road license kama ingetozwa kwenye mafuta pekeyake, serikali yetu ingepata kiasi gani. Hapa kuna dereva wa siku nyingi katika daladala anasema, hutumia wastani wa lita 80 za mafuta kila siku. Sasa hebu tukokotoe kidogo, lita 80 kwa siku, kwa wiki itakuwa lita 560, kwa mwezi lita 2,240, na kwa mwaka ni lita 26,880 za mafuta kwa daladala moja katika hali ya kawaida.
Sasa, kama watu wa hazina na TRA wangekuwa na upeo wa kuunga mkono serikali katika kuhakikisha inapata mapato ya kutosha, hili ndo pendekezo wangepeleka kwenye wizara husika. Lakini, wapi wapowapo kama vile hawakuenda shule.
Sasa, tufanye TRA wakusanye shilingi 50 tu kwenye kila lita moja ya mafuta. Utaona kuwa, daladala letu linalotumia lita 26,880 za mafuta kwa mwaka litakuwa limechangia kodi ya shilingi 1,344,000/- ambayo haiumizi kichwa kwa mchangiaji!
Huu ni mfano halisi jinsi TRA na mifumo yake ya ukusanyaji kodi unavyoigharimu hii nchi kwa kuikosesha mapato! Hawana hata upeo wa kupambanua ipi kubwa kati ya shillingi 250,000/- ya road license na shillingi 1,344,000/- kama itatozwa kwenye mafuta.
Swali la kujiuliza, kwanini kung'ang'ana na mfumo unaoikosesha serikali mapato!
Ninawasilisha hoja!
petrol inatumika kwenye magari tu? kwa hiyo 50 ni bei kubwa sana mkuu, ila ni hja nzuri inahitajika kuwa polished tuKama mimi ningelikuwa ndo mkuu wa hii kaya Tanzania ningelifuta "Road Licence" mara moja! Sababu, inaikosesha serikali mapato halali na makubwa.
Leo nimetembelea machinjio ya magari mabovu nikiwa na rafiki yangu akitafuta vipuri kwa ajili ya daladala lake. Nimekuta daladala nyingi zimechinjwa, na zinauzwa kama vipuri kwa wahitaji.
Nilivyojaribu kudadisi, wengi wanachinja baada ya kushindwa kulipia Road License kutokana na kulimbikiza kutokana na ajari au gari kiharibika hivyo kuchelewa kilitengeneza kwa wakati na hivyo kujikuta deni la road license kuwa kubwa.
Nimejaribu kuumiza kichwa kuona hivi kama hiyo road license kama ingetozwa kwenye mafuta pekeyake, serikali yetu ingepata kiasi gani. Hapa kuna dereva wa siku nyingi katika daladala anasema, hutumia wastani wa lita 80 za mafuta kila siku. Sasa hebu tukokotoe kidogo, lita 80 kwa siku, kwa wiki itakuwa lita 560, kwa mwezi lita 2,240, na kwa mwaka ni lita 26,880 za mafuta kwa daladala moja katika hali ya kawaida.
Sasa, kama watu wa hazina na TRA wangekuwa na upeo wa kuunga mkono serikali katika kuhakikisha inapata mapato ya kutosha, hili ndo pendekezo wangepeleka kwenye wizara husika. Lakini, wapi wapowapo kama vile hawakuenda shule.
Sasa, tufanye TRA wakusanye shilingi 50 tu kwenye kila lita moja ya mafuta. Utaona kuwa, daladala letu linalotumia lita 26,880 za mafuta kwa mwaka litakuwa limechangia kodi ya shilingi 1,344,000/- ambayo haiumizi kichwa kwa mchangiaji!
Huu ni mfano halisi jinsi TRA na mifumo yake ya ukusanyaji kodi unavyoigharimu hii nchi kwa kuikosesha mapato! Hawana hata upeo wa kupambanua ipi kubwa kati ya shillingi 250,000/- ya road license na shillingi 1,344,000/- kama itatozwa kwenye mafuta.
Swali la kujiuliza, kwanini kung'ang'ana na mfumo unaoikosesha serikali mapato!
Ninawasilisha hoja!
Mkuu hatuna wasomi! Wanakila aina ya teknolojia inayweza kuwasaidia kukusanya kodi pasipo kuumiza watu, lakini akili zao mgando wanazidi kiikosesha serikali yetu mapato. Wakati umefika mkuu wa kaya ajaribu kumulika katika hizo ofisi, nadhani kuna vilaza wengi sana wamejificha humo.Hata mm siipendi hii tozo, bora wangeweka kwenye mafuta tuu, hawa wanaojiita wasomi sijui wanafikiria kwa kutumia kiungo gani mwilini, eti wasomi, ha ha haaa amkeni "wasomi" wa TRA
Hiyo 50 nimejaribu kutolea mfano katika namna ya kukokotoa tozo la road license. Inapaswa kuwa chinyi ya hapo.petrol inatumika kwenye magari tu? kwa hiyo 50 ni bei kubwa sana mkuu, ila ni hja nzuri inahitajika kuwa polished tu
Ukisema hivyo unakosea maana kwenye importation magari pia huchajiwa rail levy japo hayatumii rail. Majenerata ni minor case can be ignoredHata mimi naunga mkono, haina maana kutoza 'Road Licence' kwa gari ambayo iko garage-labda utoze 'Garage Licence'. Hata hivyo, wanaosema sio kila kitu kinachotumia Petroli/Diesel kinatumia barabara-hivyo wenye jenereta zinazosaidia wakati Tanesco wanapofanya yao wataathirika maana watatozwa kodi ya barabara wakati jenereta liko nyumbani.
Ni kwa asilimia ngapi ya mafuta yanatumika kwenye vyombo hivyo? Mpaka sasa road toll inatozwa kwenye mafuta na vyombo hivyo vinadunda tu.Wananchi wengi wameanza kuelewa, lakini na walio bado gizani kujua nani analipa kodi bado ni wengi zaidi. Pote duniani mlipa kodi ni mlaji wa mwisho. Kupandisha bei ya petrol kufidia road licence utapata urahisi wa kukusanya kodi, lakini utavilipisha vyombo vingine vinavyotumia mafuta lakini havijui barabara, kama vile generator na boat za uvuvi na meli.
Kupandisha bei ya mafuta kuna madhara makubwa kiuchumi kuliko unavyodhani, hivyo sio njia sahihi kuingiza road licence kwenye mafuta. Mpaka sasa karibu asilimia 50 au zaidi ya bei ni kodi. Vile vile mafuta ni nishati ambayo inatumiwa na viwanda, majumbani na katika uzalishaji mwingine usiohisisha matumizi ya barabara, kwa msingi huo road licence lazima iendelee kuwapo na huu ni mfumo wa dunia nzima.
Kama mafuta yana kodi ya barabara why road licence?bei ya mafuta hata sasa tayari ina tozo ya barabara
hii ni moja ya kodi zilizokuwa double taxed
Mafuta ya jenereta yako unacho kisima nyumbani? Hutumii barabara kwenda kununua mafuta kituoni?Hata mimi naunga mkono, haina maana kutoza 'Road Licence' kwa gari ambayo iko garage-labda utoze 'Garage Licence'. Hata hivyo, wanaosema sio kila kitu kinachotumia Petroli/Diesel kinatumia barabara-hivyo wenye jenereta zinazosaidia wakati Tanesco wanapofanya yao wataathirika maana watatozwa kodi ya barabara wakati jenereta liko nyumbani.
Hapa bongo tunalipa na bado barabara nyingi hasa barabara za ndani ni hovyo na huua magari tu.Kenya hawalipi road license ni insuarance pekee
Hoja yako nzuri sana, umeona mbali,Hata mimi naunga mkono, haina maana kutoza 'Road Licence' kwa gari ambayo iko garage-labda utoze 'Garage Licence'. Hata hivyo, wanaosema sio kila kitu kinachotumia Petroli/Diesel kinatumia barabara-hivyo wenye jenereta zinazosaidia wakati Tanesco wanapofanya yao wataathirika maana watatozwa kodi ya barabara wakati jenereta liko nyumbani.