Sasa mtu muhimu ni mmoja tu duniani?Nakujua mzee wa upaganini. Kuna mambo mengine yako very straight forward. Haihitaji beyond reasonable doubt kuelewa. Kwanza watazame hao wadada. Ni wazi kwa bashasha zao wako na mtu 'muhimu' sana. Hao wadada kwa muonekano tu heshima/haiba yao si ndogo. Wako na mjalme
Mbona yeye mwenyewe hajiheshimu ?ndio maana ikatungwa sheria ya makiosa ya kimtandao...........!! huyu mtu ana hadhi yake , mnamvunjia heshima mkikamatwa mnakuwa wepesi kuilaumu serikali.
Hivi wewe ni kipofu? Wahi ccbrt ukapimwe macho picha inaonesha miguu yote miwili.Na picha kutokuwa na mguu wa kulia?
Hapo pia hajakurupuka?
Au Mfalme kapata kilema khafla?
Labda Muhimbili walimkata mguu baada ya kupata ajali ya bodaboda?
Then please explain the missing leg.
Kuna watu ni muhimu zaidi ya wengine. Hili halihitaji mjadala. Ok pengine siko sahihi kuhusu picha inayodhaniwa kuwa ni ya mfalme. Jambo lipi kinalokuthibitishia kuwa si yeye? Ukimuamini daktari umefikia ukomo wa kufikiri na hivyo kuwa mvivu?Sasa mtu muhimu ni mmoja tu duniani?
Picha moja hiyo hiyo, pozi moja hilo hilo, sehemu moja hiyo hiyo imetengenezwa tofauti tofauti mara kibao na kusambazwa mitandaoni.Kuna watu ni muhimu zaidi ya wengine. Hili halihitaji mjadala. Ok pengine siko sahihi kuhusu picha inayodhaniwa kuwa ni ya mfalme. Jambo lipi kinalokuthibitishia kuwa si yeye? Ukimuamini daktari umefikia ukomo wa kufikiri na hivyo kuwa mvivu?
Kweli kabisa rangi ya kichwa na mwili viko tofauti pia ukubwa wa kichwa haiendani na mwili ebu jamani tuwaheshimu viongozi wetu.Hio picha imetengenezwa tena na Mwanfunzi asiyejua vzuri ndio maana unaona hakuna uhusiano kati ya Miguu na eneo la kiwiliwili mpaka kichwani. Itz Photoshop material. Tujifunze kuheshimu viongoz wa mataifa ya wenzetu.
Nilidhani una ushahidi beyond reasonable doubt kuwa si yeye. Hauko mbali na mimi kuamini katika ninachokiona kulingana na muonekano wa picha ( japo yaweza kweli kuwa sio). Unadhani ni kwa nini picha hii imekuja wakati huu? Aliyeitengeneza hajipendi au hawahofii hao waarabu wenye msimamo mkali?Picha moja hiyo hiyo, pozi moja hilo hilo, sehemu moja hiyo hiyo imetengenezwa tofauti tofauti mara kibao na kusambazwa mitandaoni.
Halafu imetengenezwa kwa namna ya kwamba mtuvanayejua hizi habari za photoshop kuitambua si kazi.
Pia, namfuatikia mfalme wa Morocco na siasa zake.
Uwezekano wa hutu mfalme kuvaa t shirt ya msuba hauko mbali sana na uwezekano wa mtu kama Ali Hassan Mwinyi kuvaa T shirt ya msuba.
Huyu ni "Defender of The Faith" Morocco. Watu milioni 33 wanamuangalia kama mkuubwa nchi yao. Yeye hana kazi kubwa zaidi ya kutoa muonekano kwamba anaheshimika.
Kwa nini mtu kama huyo atake kumwaga ugali wake kwa kupiga picha za ajabu ajabu?
Kwani unafikiri moto wa Arab spring hajauona?
Kiranga, labda kama unaongelea picha nyingine lakini hiyo ya Shati la bangi kifuani its genuine, chanzo chetu ni sisi wenyewe (ipo kwenye camera) pale Mercury kwenye club ya Simai Mpakabasi, mjumbe wa BLW (CCM), Tunguu. Alikuwepo, akanywa bia Mbili za "Ndovu" akiwa kavaa Shati lake la bangi na akamgawia mhudumu aliyemletea bia mbili tip ya $100 akiwa amevaa shati hilo hilo la bangi. Ushahidi ni sisi wenyewe na camera yetu ambayo ipo, wahudumu wa mercury pub akiwemo aliyepewa hiyo $100 tip, hao akina dada ambao majina yao yapo, wafanyakazi wengine wa mercury akiwepo mmiliki Mh Simai Mpakabasi na wateja wengine kadhaa.Picha moja hiyo hiyo, pozi moja hilo hilo, sehemu moja hiyo hiyo imetengenezwa tofauti tofauti mara kibao na kusambazwa mitandaoni.
Halafu imetengenezwa kwa namna ya kwamba mtuvanayejua hizi habari za photoshop kuitambua si kazi.
Pia, namfuatikia mfalme wa Morocco na siasa zake.
Uwezekano wa hutu mfalme kuvaa t shirt ya msuba hauko mbali sana na uwezekano wa mtu kama Ali Hassan Mwinyi kuvaa T shirt ya msuba.
Huyu ni "Defender of The Faith" Morocco. Watu milioni 33 wanamuangalia kama mkuubwa nchi yao. Yeye hana kazi kubwa zaidi ya kutoa muonekano kwamba anaheshimika.
Kwa nini mtu kama huyo atake kumwaga ugali wake kwa kupiga picha za ajabu ajabu?
Kwani unafikiri moto wa Arab spring hajauona?
Nilidhani una ushahidi beyond reasonable doubt kuwa si yeye. Hauko mbali na mimi kuamini katika ninachokiona kulingana na muonekano wa picha ( japo yaweza kweli kuwa sio). Unadhani ni kwa nini picha hii imekuja wakati huu? Aliyeitengeneza hajipendi au hawahofii hao waarabu wenye msimamo mkali?Picha moja hiyo hiyo, pozi moja hilo hilo, sehemu moja hiyo hiyo imetengenezwa tofauti tofauti mara kibao na kusambazwa mitandaoni.
Halafu imetengenezwa kwa namna ya kwamba mtuvanayejua hizi habari za photoshop kuitambua si kazi.
Pia, namfuatikia mfalme wa Morocco na siasa zake.
Uwezekano wa hutu mfalme kuvaa t shirt ya msuba hauko mbali sana na uwezekano wa mtu kama Ali Hassan Mwinyi kuvaa T shirt ya msuba.
Huyu ni "Defender of The Faith" Morocco. Watu milioni 33 wanamuangalia kama mkuubwa nchi yao. Yeye hana kazi kubwa zaidi ya kutoa muonekano kwamba anaheshimika.
Kwa nini mtu kama huyo atake kumwaga ugali wake kwa kupiga picha za ajabu ajabu?
Kwani unafikiri moto wa Arab spring hajauona?
Waarabu wenye msimamo mkali are highly overrated. Wa Morocco tuko nao Unyamwezini wanakula ma burger ya kinyamwezi kama hawana akili nzuri.Nilidhani una ushahidi beyond reasonable doubt kuwa si yeye. Hauko mbali na mimi kuamini katika ninachokiona kulingana na muonekano wa picha ( japo yaweza kweli kuwa sio). Unadhani ni kwa nini picha hii imekuja wakati huu? Aliyeitengeneza hajipendi au hawahofii hao waarabu wenye msimamo mkali?
Kiranga, labda kama unaongelea picha nyingine lakini hiyo ya Shati la bangi kifuani its genuine, chanzo chetu ni sisi wenyewe (ipo kwenye camera) pale Mercury kwenye club ya Simai Mpakabasi, mjumbe wa BLW (CCM), Tunguu. Alikuwepo, akanywa bia Mbili za "Ndovu" akiwa kavaa Shati lake la bangi na akamgawia mhudumu aliyemletea bia mbili tip ya $100 akiwa amevaa shati hilo hilo la bangi. Ushahidi ni sisi wenyewe na camera yetu ambayo ipo, wahudumu wa mercury pub akiwemo aliyepewa hiyo $100 tip, hao akina dada ambao majina yao yapo, wafanyakazi wengine wa mercury akiwepo mmiliki Mh Simai Mpakabasi na wateja wengine kadhaa.