Mfahamu vyema mnyama Tembo (Elephant )

Nyangumi ni mnyama anayeishi baharini, na anaitwa mnyama kwa sababu hunyonyesha. Ni katika kundi la "mammals". Tembo yupo kundi hilo yeye huishi nchi kavu.

Una point lkn unachanganya mambo. Nyangumi hawi mnyama kwa kuwa ananyonyesha, hata kenge na mamba na njiwa ni wanyama pia.

Sifa ya kunyonyesha inamuweka nyangumi kwenye kundi la 'Mamalia'. Suala la unyama wake haliathiriwi na kunyonyesha au kutonyonyesha. AND Yes, mnyama mkubwa kabisa duniani ni Blue Whale wa bahari ya Atlantic. Pengine Mkuu Mzizi alimaaanisha Largest Land Animal.

@Mkuu Mzizimkavu

Nifanyaje maujanja gani ili nikipiga bao nimimine ujazo kama wa Tembo? Ingia maabara mkuu nakuaminia
 
Du bao moja lita 5 duuuuuu hatari kweli kweli,dushelele kilo 27 eheheee,bao la kwanza dakika 360 !!!! Inye kilo 150 hafai kuigwa huyu lazima uchanike msamba!
 
Una point lkn unachanganya mambo. Nyangumi hawi mnyama kwa kuwa ananyonyesha, hata kenge na mamba na njiwa ni wanyama pia.

Sifa ya kunyonyesha inamuweka nyangumi kwenye kundi la 'Mamalia'. Suala la unyama wake haliathiriwi na kunyonyesha au kutonyonyesha. AND Yes, mnyama mkubwa kabisa duniani ni Blue Whale wa bahari ya Atlantic. Pengine Mkuu Mzizi alimaaanisha Largest Land Animal.

@Mkuu Mzizimkavu

Nifanyaje maujanja gani ili nikipiga bao nimimine ujazo kama wa Tembo? Ingia maabara mkuu nakuaminia
Kula sana Karanga mbichi na white cheese utakuwa unatoa maujazo mengi mkuu jaribu kama wiki moja kisha kakutane na mchumba wako kimapenzi kisha utanipa Feedback.
kuhusu Mnyama mkubwa duniani ingawa mnasema ni nyangumi mimi nimekusudia mnyama mkubwa Tembo kwa sababu anaishi nchi kavu Nyangumi je anaishi nchi kavu? mbona watu hupenda kuleta maneno ya ligi kama vile ubishani wa mpira Simba na Yanga? mbona watu wanaleta maneno ya Pumba? Mkuu
 
Mshaanza ubishi


QUOTE=Bumpkin Billionare;3374482]Una point lkn unachanganya mambo. Nyangumi hawi mnyama kwa kuwa ananyonyesha, hata kenge na mamba na njiwa ni wanyama pia.

Sifa ya kunyonyesha inamuweka nyangumi kwenye kundi la 'Mamalia'. Suala la unyama wake haliathiriwi na kunyonyesha au kutonyonyesha. AND Yes, mnyama mkubwa kabisa duniani ni Blue Whale wa bahari ya Atlantic. Pengine Mkuu Mzizi alimaaanisha Largest Land Animal.

@Mkuu Mzizimkavu

Nifanyaje maujanja gani ili nikipiga bao nimimine ujazo kama wa Tembo? Ingia maabara mkuu nakuaminia[/QUOTE]
 
Kabla hujamuiga tembo kunya boga bora uyajue haya kwanza.

african-elephant_435_600x450.jpg




  1. Tembo ndie mnyama mkubwa kuliko wote duniani. Hata hivyo, pamoja na ukubwa wake akitembea hana kishindo kabisa, miguu yake kwa chini ni kama ina sponge, na pia hapendi kelele.
  1. Tembo ana ukubwa wa tani 7 na hula mizizi, majani, matunda na magamba ya miti. Tembo pia hunusa harufu ya maji umbali wa meli 3.
  1. Umri wake wa kuishi ni miaka 60 hadi 70.
  1. Mkonga wa Tembo hutumika kwa shughuli nyingi, ikiwemo kuvutia pumzi na kunusia (pua), kulia, kuchotea maji ya kunywa, kukata matawi ya miti, kupigania,
  2. kuchimbia, kupapasana, na hata kujirushia maji na mavumbi kwa ajili ya kuhifadhi ngozi yake na maradhi na wadudu (mkono).
  1. Pembe yake moja inaweza kukaribia kilo 100 na urefu wa zaidi ya nchi 130. Pia jino lake moja linakaribia uzito wa kilo 20.
  1. Tembo anatumia masaa 16 kwa siku kwa kula tu, na kinyesi chake kwa siku kinafika kilo 150.
  1. Tembo huwa hasahau, chochote/yeyote alichowahi/aliyewahi kukiona/kumuona maishani mwake basi huwa anakikumbuka/anamkumbuka mara tu akikiona/akimuona
  1. Tembo huwa wanalia, kuhuzunika, hufurahi na kucheka pia. Vile vile wana huruma kiasi kwamba mtoto anapolia basi wote hukusanyana na kumbembeleza. Pia wanaomboleza pale mmoja wao anapofariki.
  1. Tembo ana uwezo wakuogelea masafa marefu.
  1. Tembo jike hubeba mimba miaka 2.
  1. Tembo mtoto huzaliwa akiwa na kilo 80 hadi 120
  1. Chakula cha tembo kwa siku ni kilo 300 na maji lita 40
  1. Uume wa tembo una kilo 27, ukimuona wakati anafanya mapenzi unaweza kuhisi kama vile ana miguu mitatukwa nyuma.
  1. Tembo ana fanya mapenzi kwa masaa 12, masaa 6 ya mwanzo anamuandaa mwenzi wake na 6 yanayobaki ndio shughuli yenyewe na hiyo ni ile raundi ya kwanza.
  1. Tembo dume huwa na wanawake wawili mpaka wanne
  1. Tembo dume "akifunga goli / akipiga bao" manii yake yanafika ujazo wa lita tano.
Ukitembelea mbuga yoyote ile ya wanyama, pamoja na mambo mengine "Tour Guide" atakueleza "characteristics" za kila kiumbe hai (floral & fauna) katika mbuga husika.
 
Yeuwiiii afadhali mimi ni binadamu na nina uhakika hata hao wanyama wanasema afadhali mimi ni mnyama.............shaa uume wa kilo zote hizo!!!!!:tongue:
 
Mshaanza ubishi


QUOTE=Bumpkin Billionare;3374482]Una point lkn unachanganya mambo. Nyangumi hawi mnyama kwa kuwa ananyonyesha, hata kenge na mamba na njiwa ni wanyama pia.

Sifa ya kunyonyesha inamuweka nyangumi kwenye kundi la 'Mamalia'. Suala la unyama wake haliathiriwi na kunyonyesha au kutonyonyesha. AND Yes, mnyama mkubwa kabisa duniani ni Blue Whale wa bahari ya Atlantic. Pengine Mkuu Mzizi alimaaanisha Largest Land Animal.

@Mkuu Mzizimkavu

Nifanyaje maujanja gani ili nikipiga bao nimimine ujazo kama wa Tembo? Ingia maabara mkuu nakuaminia
[/QUOTE]
Kula sana Karanga mbichi na white cheese utakuwa unatoa maujazo mengi mkuu jaribu kama wiki moja kisha kakutane na mchumba wako kimapenzi kisha utanipa Feedback.
 
Yeuwiiii afadhali mimi ni binadamu na nina uhakika hata hao wanyama wanasema afadhali mimi ni mnyama.............shaa uume wa kilo zote hizo!!!!!:tongue:

Katika vyote JS umeona uume tu? :lol::juggle:
 
Mkuu MziziMkavu,

Asante kwa maelezo mazuri ila naomba kuongezea maujuzi kidogo.

Tembo jike ana kumbu kumbu kubwa kuliko Tembo dume.


Kabla hujamuiga tembo kunya boga bora uyajue haya kwanza.

african-elephant_435_600x450.jpg




  1. Tembo ndie mnyama mkubwa kuliko wote duniani. Hata hivyo, pamoja na ukubwa wake akitembea hana kishindo kabisa, miguu yake kwa chini ni kama ina sponge, na pia hapendi kelele.
  1. Tembo ana ukubwa wa tani 7 na hula mizizi, majani, matunda na magamba ya miti. Tembo pia hunusa harufu ya maji umbali wa meli 3.
  1. Umri wake wa kuishi ni miaka 60 hadi 70.
  1. Mkonga wa Tembo hutumika kwa shughuli nyingi, ikiwemo kuvutia pumzi na kunusia (pua), kulia, kuchotea maji ya kunywa, kukata matawi ya miti, kupigania,
  2. kuchimbia, kupapasana, na hata kujirushia maji na mavumbi kwa ajili ya kuhifadhi ngozi yake na maradhi na wadudu (mkono).
  1. Pembe yake moja inaweza kukaribia kilo 100 na urefu wa zaidi ya nchi 130. Pia jino lake moja linakaribia uzito wa kilo 20.
  1. Tembo anatumia masaa 16 kwa siku kwa kula tu, na kinyesi chake kwa siku kinafika kilo 150.
  1. Tembo huwa hasahau, chochote/yeyote alichowahi/aliyewahi kukiona/kumuona maishani mwake basi huwa anakikumbuka/anamkumbuka mara tu akikiona/akimuona
  1. Tembo huwa wanalia, kuhuzunika, hufurahi na kucheka pia. Vile vile wana huruma kiasi kwamba mtoto anapolia basi wote hukusanyana na kumbembeleza. Pia wanaomboleza pale mmoja wao anapofariki.
  1. Tembo ana uwezo wakuogelea masafa marefu.
  1. Tembo jike hubeba mimba miaka 2.
  1. Tembo mtoto huzaliwa akiwa na kilo 80 hadi 120
  1. Chakula cha tembo kwa siku ni kilo 300 na maji lita 40
  1. Uume wa tembo una kilo 27, ukimuona wakati anafanya mapenzi unaweza kuhisi kama vile ana miguu mitatukwa nyuma.
  1. Tembo ana fanya mapenzi kwa masaa 12, masaa 6 ya mwanzo anamuandaa mwenzi wake na 6 yanayobaki ndio shughuli yenyewe na hiyo ni ile raundi ya kwanza.
  1. Tembo dume huwa na wanawake wawili mpaka wanne
  1. Tembo dume "akifunga goli / akipiga bao" manii yake yanafika ujazo wa lita tano.
 
1. Tembo ndie mnyama mkubwa kuliko wote duniani. Hata hivyo, pamoja na ukubwa wake akitembea hana kishindo kabisa, miguu yake kwa chini ni kama ina sponge, na pia hapendi kelele.
2. Tembo ana ukubwa wa tani 7 na hula mizizi, majani, matunda na magamba ya miti. Tembo pia hunusa harufu ya maji umbali wa meli 3.
3. Umri wake wa kuishi ni miaka 60 hadi 70.
4. Mkonga wa Tembo hutumika kwa shughuli nyingi, ikiwemo kuvutia pumzi na kunusia (pua), kulia, kuchotea maji ya kunywa, kukata matawi ya miti, kupigania,
5. kuchimbia, kupapasana, na hata kujirushia maji na mavumbi kwa ajili ya kuhifadhi ngozi yake na maradhi na wadudu (mkono).
6. Pembe yake moja inaweza kukaribia kilo 100 na urefu wa zaidi ya nchi 130. Pia jino lake moja linakaribia uzito wa kilo 20.
7. Tembo anatumia masaa 16 kwa siku kwa kula tu, na kinyesi chake kwa siku kinafika kilo 150.
8. Tembo huwa hasahau, chochote/yeyote alichowahi/aliyewahi kukiona/kumuona maishani mwake basi huwa anakikumbuka/anamkumbuka mara tu akikiona/akimuona
9. Tembo huwa wanalia, kuhuzunika, hufurahi na kucheka pia. Vile vile wana huruma kiasi kwamba mtoto anapolia basi wote hukusanyana na kumbembeleza. Pia wanaomboleza pale mmoja wao anapofariki.
10. Tembo ana uwezo wakuogelea masafa marefu.
11. Tembo jike hubeba mimba miaka 2.
12. Tembo mtoto huzaliwa akiwa na kilo 80 hadi 120
13. Chakula cha tembo kwa siku ni kilo 300 na maji lita 40
14. Uume wa tembo una kilo 27, ukimuona wakati anafanya mapenzi unaweza kuhisi kama vile ana miguu mitatukwa nyuma.
15. Tembo ana fanya mapenzi kwa masaa 12, masaa 6 ya mwanzo anamuandaa mwenzi wake na 6 yanayobaki ndio shughuli yenyewe na hiyo ni ile raundi ya kwanza.
16. Tembo dume huwa na Jike wawili mpaka wanne
17. Tembo dume "akifunga goli / akipiga bao" manii yake yanafika ujazo wa lita tano.
 
Back
Top Bottom