myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 147,648
- 656,484
Pamoja na ubabe wake
Anamkiri Yesu kirsto kuwa mwokozi wa ulimwengu
Anasali : Russian Orthodox Church,
huyu ndie kiongozi wao Moscow
Pamoja na ubabe wake
Anamkiri Yesu kirsto kuwa mwokozi wa ulimwengu
IrrelevantPamoja na ubabe wake
Anamkiri Yesu kirsto kuwa mwokozi wa ulimwengu
wanaexercise tu ''freedom of speech''...wakati mwingine hamna cha maana wanacholalamika..kweli kila nchi na mambo yake aisee......hayo mambo yangefanyika na rais wa USA wananchi wake wangetukana mpk basi yawezekana wangeomba hata akapimwe akili
Na hiyo ndio inamtia Putin hasira, na ukweli ni kwamba hayo Makosa hawatakaa wayarudie kamwe.Alafu bado USSR ikaanguka kifo cha mende dhidi ya wataalamu wa michezo michafu C.I.A.