BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,020
- 8,480
Jamaa namkubali sana
The only president amabaye ana kila tabia ya uongozi
amabaye=Ambaye
Jamaa namkubali sana
The only president amabaye ana kila tabia ya uongozi
Kwani umemuona Putin anakunywa kikombe cha babu hapo?acha masihara basiMagufuli kwenye kampeni alipiga pushups tu, ukawa wanalia mpaka leo....yote haya angeyafanya yeye, wangelia to the end of the world.
Sisi tuna mikanda mingi sana myeusi ya surualiRais wa Urusi, Vladimir Putin amepata mkanda mweusi wa nane katika karate. Putin mwenye miaka 63, ni mwanafunzi wa Kyokushin, aina ya karate ambayo wachezaji hawavai vifaa maalum kichwani. Putin pia ni mahiri kwenye martial arts ambapo alipewa mkanda mweusi wa tisa kwenye taekwondo mwaka 2013. Pia ni mchezaji mzuri wa judo
na power pia wanabadilishanaAkitoka Putin atakuja Dmitry Medvedev.
Yaani wamekuwa wakibadilishana uraisi kwa waziri mkuu.
na power pia wanabadilishana
Magufuli kwenye kampeni alipiga pushups tu, ukawa wanalia mpaka leo....yote haya angeyafanya yeye, wangelia to the end of the world.
Zile zilikuwa push ups au kubongoa?Magufuli kwenye kampeni alipiga pushups tu, ukawa wanalia mpaka leo....yote haya angeyafanya yeye, wangelia to the end of the world.