DON SINYORI
JF-Expert Member
- Aug 3, 2016
- 511
- 417
kuna msemo unasema picha huzungumza maneno elfu. kupiia picha hizi unaweza kumfahamu vizuri mbabe wa siasa za dunia hii bwana Vladimir Putin
ndicho nachomkubali zaidihuyu jamaaPamoja na ubabe wake
Anamkiri Yesu kirsto kuwa mwokozi wa ulimwengu
hahahahah kweli NGOSHA angekuwa active kama hivi mbona magazeti yangeuza sanaMagufuli kwenye kampeni alipiga pushups tu, ukawa wanalia mpaka leo....yote haya angeyafanya yeye, wangelia to the end of the world.
Alafu bado USSR ikaanguka kifo cha mende dhidi ya wataalamu wa michezo michafu C.I.A.Hili babe la urusi si lilikuwa jasusi la kgb enzi hizo nalikubali sana hili jamaa huwa halicheki hovyo
Alafu bado USSR ikaanguka kifo cha mende dhidi ya wataalamu wa michezo michafu C.I.A.
Me naona unachanganya vtuPamoja na ubabe wake
Anamkiri Yesu kirsto kuwa mwokozi wa ulimwengu
Kipi kimekufanya useme hivi ??Pamoja na ubabe wake
Anamkiri Yesu kirsto kuwa mwokozi wa ulimwengu
Mkuu mi nimewaza nje ya boksMe naona unachanganya vtu
ulisha wahi kuona wapi push up za kubinua mnaga juu kama brek ya ndege..!!angekuepo nyoso asingesalimikaMagufuli kwenye kampeni alipiga pushups tu, ukawa wanalia mpaka leo....yote haya angeyafanya yeye, wangelia to the end of the world.
Duh sikujua hiloPamoja na ubabe wake
Anamkiri Yesu kirsto kuwa mwokozi wa ulimwengu