Wana MMU naomba mnifahamishe maana ya slay queen, Mschana akiitwa slay queen anakuwa na tabia zipi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana MMU naomba mnifahamishe maana ya slay queen, Mschana akiitwa slay queen anakuwa na tabia zipi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sharobaro wa kike..
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
hivi eh....?
hawaombi pesa.....???Wanavyoishi kama
wakitembea hawakanyagi chini
hawanyi kabisa
hawachafuki
kumbe wanakunya mavi magumu tu
wanaogopa mvua kuliko ukimwi
yaani mvua ikianza kunyesha wanatoka nduki hujawahi ona
wangekuwa washakufahawaombi pesa.....???
ila ukifuatilia wanaishi vipi kwa uhalisia?wangekuwa washakufa
Wanagombania maharage kama wapo jelaila ukifuatilia wanaishi vipi kwa uhalisia?



shenzi zao.....dhiki tupu!Wanagombania maharage kama wapo jela
itabidi nikutafute kesho....