Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 6,637
- 10,723
Bedbugs...Wanaitwa "BITTLE" uswahilini....Wanataka Kufanana na Kupe.
Waafrika wakihadithiana uchafu wao hivi hili bara mtaelimika lini?
Nimekaa Italy 6yrs sijasikia huu upupu dah poor country with poor dirty stupid people!!!
Nimeipenda hii mkuu, nipo singida ntaiulizia madukaniPoleni sana, mnatumia nguvu kubwa sana kuwaua hao wadudu wakati dawa yake ni ndogo sana.
Maduka ya pembejeo za kilimo wana dawa inatamkwa (dayazone), hii dawa ni kiboko.
Inawaua kwa harufu yake tu, wanavimba na kupasuka kama wote, popote pale ambapo harufu itafika.
Huhitaji kutoa vitu vyako ndani wala kuchemsha maji wala kujinukisha mafuta ya taa wala petroli.
Hapana mkuu sio kweli, mi kuna sehemu nilihamia ikawa sijawah kuwaona kunguni, ila baada ya wageni mbalimbali kuja kutembelea home nilipopanga nikaanza kuskia nawashwa kila nikikaa kwenye kochi, nilipiga makochi yote maji ya moto, kisha nikanyunyiza dawa tena nikayaacha nje km miezi miwili hv hadi yakauke, wakaisha, nikawa sikaribishi watu ndani tena, baada ya muda si nikaachia tena watu waingie na kupiga stori na nini, wakarudi upya,KUNGUNİ ni dalili ya umasikini, ufukara na uchafu.
Achome GODORO na mito vingine achemshe Hadi vitokote, kitata atoe nje amwagiw maji ya moto %+ C.....Hii habari inaniumiza,,hawa kungui wanamtesa mdogo wangu wa kiume nyumbani,,halafu ni chumba chake tu,,,hizo mbinu zote mlizosema zimetumika ila bado,,mpaka Wakati mwingine analala sebuleni,,, yani mpaka nahofia atapata madhara mana kila siku mafuta ya taayanamwagwa chumba anacholala
Hujawai kukutana nao, shukuru wewe sio wa kujichanganya na kila mtu, mi mwenyewe nilikua najua ni wadudu wanaotokana na uchafu, ila hata uwe msafi vipi, akitokea mtu tu mmoja akaja nao kwako ndo washafika hao, hayo unayoyaongea utayaeditWaafrika wakihadithiana uchafu wao hivi hili bara mtaelimika lini?
Nimekaa Italy 6yrs sijasikia huu upupu dah poor country with poor dirty stupid people!!!
Kunguni wanaletwa na watu siku zote, hilo nilishaprove zamani sana,Atumie hiyo mimi nina miaka kumi nilishawasahau hawa wadudu nilileta vijana wa shamba toka kigoma balaa likaanza mabegi yalikuwa na kunguni wa kutosha nashangaa umekaa kwenye sofa unapigwa kimya kimya kuangalia la haula kunguni ikabidi nifanye fumigation mpaka leo nasikia kwa watu tu
Hao wadudu ni hatari kuliko yaani hadi wametungiwa nyimboWakuu
Mwezi wa 12 mwaka janakama likuja shemeji yenu geto, usiku hakulala analalamika anawashwa, nikampuuzia
Baada ya kama wiki nikapata tatizo la kiafya nikawa na dozi ya kama wiki 2 hivi, ikanilazimu siwe nakunywa pombe
Lahaula lakwata balaa nililokutana nalo usiku amini usiamini nimekimbia nyumba nalala gesti au kwa shemeji yenu
Kunguni wanang'ataa hadi unakasirika usiku ukianza kuingia
Nikajaribu kupuliza Rungu chupa nzima nikakaa kama siku 2, kuja kurudi mwendo uleule, sijalala kabisaa wanang'ata balaa
Ukiwasha taa usiku wanavyokimbia kujificha uwezi lala tena
Naombeni maelekezo jamani niwamalize hawa washenzi wameniathiri kisaikolojia hadi nachukia nyumba yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mayu ngoja nikuwile gwa ineTenda iti, Sehemu zilizoathirika mwagia petroli ila usithubutu kulimwagia godoro litakuja kuwak, watakufa wotee na hawatokaa warudi
Tenda yaso kate
Mi ipo ile mikibwa halafu ukiligusa tu linanukaaMkuu mimi nipo napambana nao hapo,hivi vidogo vyeupe ndo hatari at least ile mikubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
KUNGUNIWakuu
Mwezi wa 12 mwaka janakama likuja shemeji yenu geto, usiku hakulala analalamika anawashwa, nikampuuzia
Baada ya kama wiki nikapata tatizo la kiafya nikawa na dozi ya kama wiki 2 hivi, ikanilazimu siwe nakunywa pombe
Lahaula lakwata balaa nililokutana nalo usiku amini usiamini nimekimbia nyumba nalala gesti au kwa shemeji yenu
Kunguni wanang'ataa hadi unakasirika usiku ukianza kuingia
Nikajaribu kupuliza Rungu chupa nzima nikakaa kama siku 2, kuja kurudi mwendo uleule, sijalala kabisaa wanang'ata balaa
Ukiwasha taa usiku wanavyokimbia kujificha uwezi lala tena
Naombeni maelekezo jamani niwamalize hawa washenzi wameniathiri kisaikolojia hadi nachukia nyumba yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
KUNGUNI
Mkuu hao dawa yao n ndogo tu
Andaa mafuta ya taa + sabuni ya unga + maji
Chemsha maji mpaka yawe ya Moto vzr weka mafuta ya taa na hyo sabuni ya unga .
Mwaga kila Kona kunguni wanapokaa kiukwel utawaokota Kama njugu
#97blessed
Inategemeana na unataka kutumia kwa kiasi gan.
Nilisota sana kuwamaliza kambini sasa nilikowapeleka hao vijana ilibidi kukusanya vitu vyote na kupiga kibiritiKunguni wanaletwa na watu siku zote, hilo nilishaprove zamani sana,
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadudu wale ukiwasha taa mbio zao utafikiri walishashiriki Olympic
Sent using Jamii Forums mobile app