Mfahamu malkia wa kuzimu

Mfahamu malkia wa kuzimu

toba mie...!!
mweka mada umepataje kuyajua haya..?
 
Huo muda ukiamka kuomba kuanzia saa 8 usiku kuna nguvu flani unahisi na hali ya tofauti.Kwenye huo muda nahafiki,hayo mengine wajuvi watakuja.
 
nimekupata vyema mkuu @Ciprofloxacin lakin kwann unajiita jina la dawa mkuu?!
 
Mada nzuri ile kamalizia vibaya mno ...

Nimebaki kucheka na kilenzi
 
Huo muda ukiamka kuomba kuanzia saa 8 usiku kuna nguvu flani unahisi na hali ya tofauti.Kwenye huo muda nahafiki,hayo mengine wajuvi watakuja.
Mi hupenda kusali ucku wa manane kwanza anga linakuwa si zito ukisali unaona utofauti mkubwa sana kuna uwepesi tofauti na mchana
 
Umeweka uongo mwingi. Shetani ni Malaika waliomuasi Mungu. Malaika ni roho na roho haina jinsia...

Kama hujui mambo usiwe mbishi, ni vema ukaomba ufundishwe.
Sijakurupuka kuandika ujue, kuna mazito ninayoyajua siwezi kuyaweka hapa maana watu wengi ni wabishi halafu hawajui kitu.
Nimeona jinsi wanavyombishia mshana jr.
Usikimbilie kuniita muongo bila kufanya utafiti, ukiwa na akili hiyo, dunia itakupiga chenga Sana.
malaika na mapepo, wote ni roho, ila wana jinsia ktk ulimwengu wa roho.
Kwa mfano. malaika Mikael naye ni roho ila ni dume.
Hii strictly, kuna Mapepo jike na madume na yanaoana na kuzaana, wewe huwezi kuwaona Kwa macho, ni mambo ya kiroho.
Na Lucifer ni roho ila ni dume.
Usipende kuwa mbishi, penda kuwa mdadisi.
 
Umeandika kutokana na kitabu chako kilivyokufunza ila Quran haikusema hivyo baadhi ya vitu ni tofauti sana kwa maana hiyo ingekuwa vizuri pia kusoma na upande wa pili ili kuweza kujibu baadhi ya hoja kwani ht nikiijenga hoja nitakuacha badala yke utajibu kutokana na mihemko nawasilisha
 
Back
Top Bottom