Mfahamu Lenana Ole Mbatian, Laibon maarufu na shujaa wa kimasai

Mfahamu Lenana Ole Mbatian, Laibon maarufu na shujaa wa kimasai

Kubwjing

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2025
Posts
1,787
Reaction score
2,662
LENANA Ole MBATIAN, Ni Laibon (Mungu) wa Kimasai aliyepata kuishi Kenya na alitawala kuanzia mwaka 1887 mpaka miaka ya mwanzoni mwa 1900 kwa eneo la Nairobi na Tanzania pia.

LENANA, Ni miongoni mwa Vijana HODARI na SHUJAA SANA wa kimasai ambaye kama ilivyo kawaida ya Wanaume wa Kimasai kuwa hawakuweza kuozeshwa binti bila kuua Simba...

LENANA yeye alifanikiwa kuua Simba wawili peke yake na alienda porini kwaa ajili ya kuua Simba wa tatu ili aongezewe Mke, ndipo alipojeruiwa sehemu ya shingo na kutibiwa kienyeji baadae akapona lakini hakufanikiwa kumuua yule Simba

LENANA OLE MBATIAN, alikuwa na Ndugu yake wa kuzaliwa aliyeitwa SENTEU ambaye nae ilimbidi kuua Simba ili kuoa, baadae walikuja kugombana kwa kumgombea Binti mmoja ambaye LENANA ndiye aliyemuoa

Jina lake limekuwa Maarufu sana Kenya na Tanzania mpaka kuna shule nchini Kenya linaitwa kwa jina lake pamoja baadhi ya Hoteli za Kitalii nchini Kenya.

download (1).jpeg
download (2).jpeg
download (3).jpeg
 
Sijaona hayo maajabu yake kabisa, yote uliyoongea ni ya kawaida na ambayo tumeyasikia huwa wanafanya hao wamasai.
 
Sijaona hayo maajabu yake kabisa, yote uliyoongea ni ya kawaida na ambayo tumeyasikia huwa wanafanya hao wamasai.
Kuua Simba Dume wawili kwa nyakati tofauti na baadae kuattempt kuua Simba wa tatu sio jambo Dogo

Labda nikuulize, Umewahi kumuua Paka wa nyumbani baada ya kukutana nae face to face?
 
Kuua Simba Dume wawili kwa nyakati tofauti na baadae kuattempt kuua Simba wa tatu sio jambo Dogo

Labda nikuulize, Umewahi kumuua Paka wa nyumbani baada ya kukutana nae face to face?
Achana na paka mimi nimeuwa cobra, ni mdudu gani hatari zaidi ya huyu shetani wewe?
 
Back
Top Bottom