CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,939
- 22,989
Saivi ukitaka mtaa uitwe jina lako au barabara basi we nenda porini huko
au nnje ya mji kabisa,anzisha makazi taratibu mji unapokua ukikufata kule ulipo
wewe ndio utakua mwenyeji wa eneo lile na kifuatacho utajikuta ukiitwa "mzee wa kijiji"
au kijiji cha mzee simba mtoto. ILA haya mambo ya kujenga hku mijini tunabanana humu
sahau kuona jina lako likitumika popote pale.
au nnje ya mji kabisa,anzisha makazi taratibu mji unapokua ukikufata kule ulipo
wewe ndio utakua mwenyeji wa eneo lile na kifuatacho utajikuta ukiitwa "mzee wa kijiji"
au kijiji cha mzee simba mtoto. ILA haya mambo ya kujenga hku mijini tunabanana humu
sahau kuona jina lako likitumika popote pale.