mngony
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 5,193
- 6,381
- Thread starter
- #21
Hili bandiko ni zuri na linamaswali mengi sana au pia Osama wanaye wanaatudhihaki
maana hapa huu muunganiko unanipa mashaka CIA,FBI NA EIJ?mmmh
kwangu mimi i do believe huu ni mpango wao tu, cheki walivyomkamata osama hata mwili hatujaona. lakini pia utaona kuwa CIA ndio waasisi wa Alqaeda ili kuwatoa warusi afghanistan( hapa ni uchumi zaidi hamna lingine) na obviosly lazima waweke watu wao walio wa-train vizuri akiwemo huyo Osama.. baada ya kumuondoa mrusi akzi iliyobaki ndio hii, unafikiri marekani wangepata vipi mafuta nchini afgahnistani, wangeingia vipi mikataba na mataifa ya uarabu ku-provide silaha na security na wao kupata mafuta kama sio kutengeneza kitu chenye kupelekea hayo..mi siamini kweli eti osama aliwakimbia wamarekani all the years. hawa CIA ni noma , uchafu wowowtw wenyw maslahi kwa taigfa unafanywa. inasemekana pia ndio mawakala wakubwa wa cocain huko marekani kwenyewe