Dk 14 zimepita hujaweka hata pichaHuyu mchezaji anachezea Yanga na timu za taifa za wanawake. Kimuonekano amevuka 17 ila bado anachezea mpaka timu u-17. Asijesababisha matatizo ila kama ni u17 kweli haina tatizo.
Yasijirudie kivipi wakati nusu ya wachezaji wamevuka miaka 20?Tumeipiga Cameroon 4-1 ugenini. Tutarudiana nayo hapa Tz. Tukiitoa tunaenda World cup. Mambo ya Nurdin Bakari yasinirudie
UmejuajeYasijirudie kivipi wakati nusu ya wachezaji wamevuka miaka 20?
Huyu Naona Hana Tofauti na SemenyaSawa kama ana nyeti za kike, ila sisi tumeona phenotype ya kiume