Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,226
- 79,517
Marehemu Juma alikuwa Mluhya. Huyu Mwirigi na Macharia ni exotic species among Kikuyus. Si Kikuyu wote makondoo. ..Sielewagi why owner wa Citizen aliamua waziwazi kushikamana na RAO badala na Kenyatta& allies...maana wakikuyu wana ile partnership in crime. Iweje hawa na yule marehemu Juma wakashikamana na jaluo (RAO?)