Askari Kanzu JF-Expert Member Jan 7, 2011 4,598 1,233 Oct 23, 2012 #1 Wajasilimali changamkieni hii kitu. Yaani unaziweka kule Manzese, kwa mfano. Mtu anapata kitu kwa mama ntilie huku anakula tizi. Inalipa!
Wajasilimali changamkieni hii kitu. Yaani unaziweka kule Manzese, kwa mfano. Mtu anapata kitu kwa mama ntilie huku anakula tizi. Inalipa!
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,129 16,194 Oct 23, 2012 #2 Manzese? Chai inanywewa na hiyo baiskeli inapotea ktk mazingira ya kutatanisha.