franksarry
JF-Expert Member
- Nov 9, 2009
- 1,284
- 481
Hasira za nn?Kama ni kweli basi Ubungo haina meya kwa miaka 5....masuala hayo awaachie akina Mbowe yeye ashughulike na matatizo ya wananchi...
Tatizo huyo meya anajipendekeza sana kwa Mwenyekiti wake wa Taifa hadi anatia kinyaa
Mayors, Kusimamia Elimu ni moja ya Kazi zao.
Ni jambo jema muhimu ni kuwa na subira.