Ndugu Jacob kumbuka wahenga walinena "ukitaka kuanzia mbio sharti uagane na nyonga",
Je umetimiza sharti hilo kabla ya kuanza kupiga jalamba??
Kumbuka kuwa "usianzishe ugomvi wakati unaishi kwenye Nyumba ya vioo".
CC: Mwenyekiti wa ufipa....hivi alihitimu Yale masomo yake ya Q.T aliyotangaza kwenda kusomea ughaibuni..??
Ni mtu mjinga tu ndiye anayeweza kulinganisha kati ya hivyo vitu viwili unalinganisha. Ondoeni unazi usiokuwa na mantiki kwenye hili suala. Failure has never been a forgery. Labda kama uliyem-cc anatumia jina na vyeti ambavyo si vyake.