Gerad2008
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 583
- 287
Mimi niko hapa Kata ya Kimandolu anakotoka Meya wa manispaa ya Arusha ndugu Laurent Hedi. Tayari matokeo yametoka na ameshindwa vibaya na Ndugu Estomih malla wa CHADEMA.
Katika kata hii ya Kimandolu CHADEMA inaongoza kwa matokeo yote kuanzia Rais, Ubunge na Diwani.
Kwa sasa hapa mtaani hakufai na hakuna kulala wananchi wameingia mtaani wanashangilia ushindi.
Figure nitawapatia baadaye kidogo
Katika kata hii ya Kimandolu CHADEMA inaongoza kwa matokeo yote kuanzia Rais, Ubunge na Diwani.
Kwa sasa hapa mtaani hakufai na hakuna kulala wananchi wameingia mtaani wanashangilia ushindi.
Figure nitawapatia baadaye kidogo