Mstahiki meya wa jiji la Dar, tunakuomba ulipe deni ambalo wananchi wa jiji hili tunadai halmashauri zetu!
Ni juu ya mnara wa saa, hii ndio symbol kuu ya kutawazwa rasmi mji huu kuwa jiji miaka 55 iliyopita!
Kwa maana yeyote ile, mnara Mkuu wa utambulisho wa jiji ambao unapaswa uwe chini yako mstahiki meya huu mnara wa saa, ule wa picha ya askari unaweza kuwa wa makumbusho ya taifa!
Hali ni mbaya ktk hiki kitovu cha mji ambapo ndio kitovu cha umbali kwa njia ya barabara kuelekea popote! Yaani ukisema Bunju ni 40km toka city centre, hii ndio reference point,hata tunaposema morogoro ni km 180 sijui point of reference ndio hapa, kama ule mnara wa saa wa Arusha!
Kwa minajiri hiyo huu mnara ni muhimu kwa kumbukumbu lakini pia ndio kitovu cha jiji!
Hali yake ni mbaya na hauna hadhi yeyote! Meya wa CCM aliyeondoka alitawanya mabati mjini ya makatuni mbalimbali lakini hakugusa kabisa mnara huu!
Please meya mpya wa UKAWA, hebu chukua credit kwa kuurejeshea hadhi mnara wetu, uwe wa kisasa zaidi labda regime yako nayo tutaikumbuka milele!
Ni juu ya mnara wa saa, hii ndio symbol kuu ya kutawazwa rasmi mji huu kuwa jiji miaka 55 iliyopita!
Kwa maana yeyote ile, mnara Mkuu wa utambulisho wa jiji ambao unapaswa uwe chini yako mstahiki meya huu mnara wa saa, ule wa picha ya askari unaweza kuwa wa makumbusho ya taifa!
Hali ni mbaya ktk hiki kitovu cha mji ambapo ndio kitovu cha umbali kwa njia ya barabara kuelekea popote! Yaani ukisema Bunju ni 40km toka city centre, hii ndio reference point,hata tunaposema morogoro ni km 180 sijui point of reference ndio hapa, kama ule mnara wa saa wa Arusha!
Kwa minajiri hiyo huu mnara ni muhimu kwa kumbukumbu lakini pia ndio kitovu cha jiji!
Hali yake ni mbaya na hauna hadhi yeyote! Meya wa CCM aliyeondoka alitawanya mabati mjini ya makatuni mbalimbali lakini hakugusa kabisa mnara huu!
Please meya mpya wa UKAWA, hebu chukua credit kwa kuurejeshea hadhi mnara wetu, uwe wa kisasa zaidi labda regime yako nayo tutaikumbuka milele!