- Wale wale Mwalimu Compromise, mko radhi kuandika anything kumtetea kwamba alikuwa Malaika wa Mungu, huyu jamaa amendika mavitabu weeee!! lakini anaishia kujificha majuu njoo bongo utekeleze hizi empty theory zenu uone kama inawezekana, maneno mengi ya kiingereza hizi theory zenu ziliwahi kufanikiwa nchi gani Duniani? Cuba? ha1 ha!
SALUTE TO THE MAYOR JERYY SILAA!!
LE MUTUZ
Nina uhakika unapotembelea miradi ya Jumuiya wa wazazi unakutana na mambo mengi aliyoayaasisi Mwalimu; pamoja na chuki zenu binafsi dhidi ya Mwalimu ukweli utabaki kama ulivyo; hakuwahi kujiita nabii wala kujiona mkamilifu na alikiri hilo wazi; na hakuwahi kuwa sultan wala mfalme kuna watu walifanya naye kazi wakiwa kama makamu wa Raisi na makamu wenyeviti upo uwezekano mkubwa failures za Mwalimu ni kutokana na kufanya kazi na watu wasio na uwezo sasa inakuwaje lawama hizi mnakimbilia kumtupia mtu mmoja na kuwaacha wahusika wengine? Na suala kama ni kweli kama mnavyodai eti aliacha misingi mibovu kwanini msijenge misingi mipya? Mwalimu hayupo madarakani karibu miaka 30; kama hoja ya misingi mibovu Brazil iliwachukua karibu miaka 20 kusimamisha misingi mipya matokeo leo Brazil wamepiga hatua kubwa sana kiuchumi; sasa je nyie mnasubiri Mwalimu afufuke aseme misingi basi ili muachane nayo? Inaeleweka wazi hizi ni siasa za maji taka nakumbuka wengi wenu humu wakati mh. Jakaya anaingia kwenye kiny'ang'nyiro cha uraisi mlikuwa mnashinda kwenye mitandao kumtukana matusi ya nguoni ambayo hata kuyarudia kuyasema ni aibu lakini leo hii mmekuwa vinara wa kutafuta kupiga picha naye; haters hata mkikesha usiku na mchana historia ya Mwalimu hamuwezi kuibadili itaendelea kuwepo tu kweli yapo mapungufu aliyafanya na yapo mema mengi sana aliyafanya kama kiongozi na ndio sababu watanzania tunaendelea kumuenzi!