Meya huchaguliwa na madiwani siyo wananchi wore.
Ni maumivu na manyanyaso makubwa wame2sababishia,wapo nduguze2 wamepoteza maisha,vilema vya kudumu nawengine uharibifu wa mali na yote hii ni kwasababu ya kulinda maslahi yao na hiki kim2 chao anyway wacha tu watuone mafala ila siku moja namba itasoma jamaangu.A_town juuuuuuuu......
Hivi kumbe ishu ya meya wa Arusha haijaisha tu!
Ikiisha CDM itafanya kazi gani?
siku moja namba itasoma jamaangu.A_town juuuuuuuu......
Jana kulikuwa na fainali za shindano la kuisaka bar inayochoma vizuri chini ya udhamini wa TBL.
Muda wote tulipokuwa pale palikuwa shwari na kazi ilikuwa ni kula nyama na bia. Mara MC akatangaza mgeni rasmi wa ile shughuli ni 'meya' wa Ar, eti Gaudence Lyimo, yule Diwani wa Moshono (CCM) alisababisha damu ya watu kumwagika! Hali ilibadilika, uwanja ukageuka wa siasa na ikawa ni malumbano na wengi wakisema Arusha bado hatuna meya.
Kwa kifupi ilikuwa ni zomeazomea na shughuli iliharibika! Nikawanajiuliza huyu anaona kabisa kwamba watu wasivyo mkubali, kwanini asikae pembeni? Nani anamsapoti wakati wananchi hawamtaki?
Nawasilisha
Meya huchaguliwa na madiwani siyo wananchi wore.kwa vile Chadema Ina madiwani 14 na CCM inao madiwani 16, Lyimo ndiyo meya wa Arusha. Kwamba anakataliwa katika hafla
ya nyama choma siyo hoja ya msingi. Munawapotezea wananchi wa Arusha kutafuta maendeleo Yao bure.Hilo ni jambo la kisheria mwenyewe ni Tundu lissu na siyo.
Maandamano wa mkutano wa hadhara.p
Jiulize hv? Yule Kivuyo wa TLP alikuwa na wenzake wa TLP wangapi kwenye uchaguzi? mbona alishinda nafasi ya pili(Unaibu meya?) nani aliyempigia kura? ukipata jibu ndio useme CHADEMA wasingeshinda kwa sababu wana madiwani 14. vinginevyo uko upande wa uongo au hujui nn kinaendelea katika nchi hii.Meya huchaguliwa na madiwani siyo wananchi wore.kwa vile Chadema Ina madiwani 14 na CCM inao madiwani 16, Lyimo ndiyo meya wa Arusha. Kwamba anakataliwa katika hafla
ya nyama choma siyo hoja ya msingi. Munawapotezea wananchi wa Arusha kutafuta maendeleo Yao bure.Hilo ni jambo la kisheria mwenyewe ni Tundu lissu na siyo.
Maandamano wa mkutano wa hadhara.p
Jana kulikuwa na fainali za shindano la kuisaka bar inayochoma vizuri chini ya udhamini wa TBL.
Muda wote tulipokuwa pale palikuwa shwari na kazi ilikuwa ni kula nyama na bia. Mara MC akatangaza mgeni rasmi wa ile shughuli ni 'meya' wa Ar, eti Gaudence Lyimo, yule Diwani wa Moshono (CCM) alisababisha damu ya watu kumwagika! Hali ilibadilika, uwanja ukageuka wa siasa na ikawa ni malumbano na wengi wakisema Arusha bado hatuna meya.
Kwa kifupi ilikuwa ni zomeazomea na shughuli iliharibika! Nikawanajiuliza huyu anaona kabisa kwamba watu wasivyo mkubali, kwanini asikae pembeni? Nani anamsapoti wakati wananchi hawamtaki?
Nawasilisha