Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,347
- 5,555
Jana kulikuwa na fainali za shindano la kuisaka bar inayochoma vizuri chini ya udhamini wa TBL.
Muda wote tulipokuwa pale palikuwa shwari na kazi ilikuwa ni kula nyama na bia. Mara MC akatangaza mgeni rasmi wa ile shughuli ni 'meya' wa Ar, eti Gaudence Lyimo, yule Diwani wa Moshono (CCM) alisababisha damu ya watu kumwagika! Hali ilibadilika, uwanja ukageuka wa siasa na ikawa ni malumbano na wengi wakisema Arusha bado hatuna meya.
Kwa kifupi ilikuwa ni zomeazomea na shughuli iliharibika! Nikawanajiuliza huyu anaona kabisa kwamba watu wasivyo mkubali, kwanini asikae pembeni? Nani anamsapoti wakati wananchi hawamtaki?
Nawasilisha
Muda wote tulipokuwa pale palikuwa shwari na kazi ilikuwa ni kula nyama na bia. Mara MC akatangaza mgeni rasmi wa ile shughuli ni 'meya' wa Ar, eti Gaudence Lyimo, yule Diwani wa Moshono (CCM) alisababisha damu ya watu kumwagika! Hali ilibadilika, uwanja ukageuka wa siasa na ikawa ni malumbano na wengi wakisema Arusha bado hatuna meya.
Kwa kifupi ilikuwa ni zomeazomea na shughuli iliharibika! Nikawanajiuliza huyu anaona kabisa kwamba watu wasivyo mkubali, kwanini asikae pembeni? Nani anamsapoti wakati wananchi hawamtaki?
Nawasilisha