Meya Arusha: Aibu tupu!

Meya Arusha: Aibu tupu!

Filipo

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2011
Posts
9,347
Reaction score
5,555
Jana kulikuwa na fainali za shindano la kuisaka bar inayochoma vizuri chini ya udhamini wa TBL.

Muda wote tulipokuwa pale palikuwa shwari na kazi ilikuwa ni kula nyama na bia. Mara MC akatangaza mgeni rasmi wa ile shughuli ni 'meya' wa Ar, eti Gaudence Lyimo, yule Diwani wa Moshono (CCM) alisababisha damu ya watu kumwagika! Hali ilibadilika, uwanja ukageuka wa siasa na ikawa ni malumbano na wengi wakisema Arusha bado hatuna meya.

Kwa kifupi ilikuwa ni zomeazomea na shughuli iliharibika! Nikawanajiuliza huyu anaona kabisa kwamba watu wasivyo mkubali, kwanini asikae pembeni? Nani anamsapoti wakati wananchi hawamtaki?

Nawasilisha
 
Mwalimu Nyerere alisema ukilewa madaraka utakuwa na upofu wa kuona mbali kama kiongozi...nadhani huyo meya hili linamkumba....
 
Kawaida ya wana CCM leo wanakuja na shutuma kwa kina Sumaye, Sita na Mwakyembe.

Kumbe jibu wanalo wenyewe.

Peoples power
 
Utavuna ulicho panda. Heko wana arusha kuonesha msimamo thabiti. Muoneni kwa macho lakini muhesabuni kuwa si meya.
 
Safi saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana,wana Arusha!kazeni uzi bado kidogo
 
Kuna wadau waliotaka kumkabidhi kadi ya CDM but busara kidogo nadhani ilitumika ... maana kungezuka
 
CCM Komeni kabisa!!!! maana mmezoe kuwapelekesha wananchi, Arusha wamekataa
peopleeeeeeeeeeeeeeezz pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Safi saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana,wana Arusha!kazeni uzi bado kidogo
 
Jana kulikuwa na fainali za shindano la kuisaka bar inayochoma vizuri chini ya udhamini wa TBL.

Muda wote tulipokuwa pale palikuwa shwari na kazi ilikuwa ni kula nyama na bia. Mara MC akatangaza mgeni rasmi wa ile shughuli ni 'meya' wa Ar, eti Gaudence Lyimo, yule Diwani wa Moshono (CCM) alisababisha damu ya watu kumwagika! Hali ilibadilika, uwanja ukageuka wa siasa na ikawa ni malumbano na wengi wakisema Arusha bado hatuna meya.

Kwa kifupi ilikuwa ni zomeazomea na shughuli iliharibika! Nikawanajiuliza huyu anaona kabisa kwamba watu wasivyo mkubali, kwanini asikae pembeni? Nani anamsapoti wakati wananchi hawamtaki?

Nawasilisha

Alikuwa ana pima kina cha maji kwa kutia mguu, kaona kina ni kirefu na mkondo wake una nguvu kubwa! Shame on CCM.
 
Jana kulikuwa na fainali za shindano la kuisaka bar inayochoma vizuri chini ya udhamini wa TBL.

Muda wote tulipokuwa pale palikuwa shwari na kazi ilikuwa ni kula nyama na bia. Mara MC akatangaza mgeni rasmi wa ile shughuli ni 'meya' wa Ar, eti Gaudence Lyimo, yule Diwani wa Moshono (CCM) alisababisha damu ya watu kumwagika! Hali ilibadilika, uwanja ukageuka wa siasa na ikawa ni malumbano na wengi wakisema Arusha bado hatuna meya.

Kwa kifupi ilikuwa ni zomeazomea na shughuli iliharibika! Nikawanajiuliza huyu anaona kabisa kwamba watu wasivyo mkubali, kwanini asikae pembeni? Nani anamsapoti wakati wananchi hawamtaki?

Nawasilisha


Na wewe mbona mgumu kuelewa hujui Meya yeye ni Kiongozi wa Madiwani! Wananchi wa nini sasa! Ningekua ndio mimi Meya wa Arusha natulia kabisa hata mambo yao ya mgeni rasmi wasiniambie!
 
Wanavuna waolichopanda na sasa wanakoma na mambo yao kwa siku nyingi sana
 
safi sana wana arusha lazima mumuonyeshe kuwa yeye siyo chaguo la mungu komaeni mpaka kije kueleweka
 
Meya huchaguliwa na madiwani siyo wananchi wore.kwa vile Chadema Ina madiwani 14 na CCM inao madiwani 16, Lyimo ndiyo meya wa Arusha. Kwamba anakataliwa katika hafla
ya nyama choma siyo hoja ya msingi. Munawapotezea wananchi wa Arusha kutafuta maendeleo Yao bure.Hilo ni jambo la kisheria mwenyewe ni Tundu lissu na siyo.
Maandamano wa mkutano wa hadhara.p
 
Ni maumivu na manyanyaso makubwa wame2sababishia,wapo nduguze2 wamepoteza maisha,vilema vya kudumu nawengine uharibifu wa mali na yote hii ni kwasababu ya kulinda maslahi yao na hiki kim2 chao anyway wacha tu watuone mafala ila siku moja namba itasoma jamaangu.A_town juuuuuuuu......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom