Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,633
- 6,229
Mkuu Safari, nilikuwa sijaiona hii picha. Upo juu sana Mkuu wangu. Umenifanya niwe na huzuni na furaha kwa wakati mmoja. Sikutegemea tena kuona picha yake. Pana wakati alimtumia jamaa picha amtafutie timu za kucheza Ulaya ila wakati ule sisi kama Wanafunzi, uwezo wetu na kufahamiana na watu kulikuwa chini sana.
Asante kwa kuiweka picha yake tena hapa JF.
Asante kwa kuiweka picha yake tena hapa JF.
From Left; Hamisi Thobias Gaga(marehemu), Saidi Mwamba Kizota (marehemu), David Mwakalebela, Method Mogella (marehemu) Abeid Mziba, Ken Mkapa(captain) na Salum kabunda Ninja(marehemu).