Messi vs Ronaldo: Nani zaidi?

Wote sawa,fomu tu ndo inatofautiana

sawa kwa kuwa wote binadamu na wote ni wachezaji mpira na wote wanachezea hispain ila kwa viwango MESSI ni kama jiji la NEW YORK alaf Penado ni kama kijiji cha BUNJU/BOKO
 
kama ningekuwa mzuri wa typing nikeandika yote but kidogo tofauti nu messi mzuri wa dribbling wakati ronaldo ni mzuri wa footwork average ya shoot ronaldo ni nzuri messi yuko vizur kweny choping ronaldo anawastani mzuri wa gol per mechi wakati mess anawastani mzuri wa kuutawala mchezo
 
Ronaldhinho on Messi Breaking Pele's record

Reporter : Messi breaks Peles record is he better than Pele?

Ronaldinho : To be better than pele you have to win 3 world cups. Not to score against Zaragoza ; Getafe and Mallorca #Dinho
 
Ukitaka kujua mtu mwenye akili nzuri , awe mtazama mpira .. Muulize Ronaldo vs messi nani mkali ... Akikupa jibu utajua akili yake ...
 
When CR scores, it's ordinary game small teams(and always Madrid already leading)
When Messi scores, frequently it's a deciding goal/s and tough games vs big Teams
 
Paul Scholes says Lionel Messi is better than former teammate Cristiano Ronaldo

The former England and Manchester United midfielder came up against Messi on four occasions and places him ahead of former teammate Cristiano Ronaldo
Praise: Scholes reckons Messi is the best he's ever shared a pitch with

Paul Scholes says Barcelona star Lionel Messi is the best player he's ever shared a pitch with - placing him ahead of former teammate Cristiano Ronaldo.
The Argentine star, 27, will bid to claim his fourth Champions League winners' medal when Barca face Juventus in Berlin on Saturday night.
And Scholes, who came up against Messi on no fewer than four occasions, places Messi above a number of world class stars past and present.
In his Independent column, Scholes wrote: "I think about the great players with whom I have shared a pitch: Eric Cantona, Zinedine Zidane, Pirlo, Xavi, Cristiano Ronaldo – and the greatest of them all is Messi."
Snub: Scholes reckons Messi is better than Ronaldo

SOURCE;- Paul Scholes - News, views, gossip, pictures, video - Mirror Online

cc Szczesny
 
Ume ignore ya ronaldinho
Alafu unaleta ya scholes

Bias hzo
Mkuu tambua Brazil & Argentina are rival enemies, so kwa Ronaldinho kusema aliyosema kuhusu kumlinganisha Pele na Messi sio ajabu. Isipokuwa kwa Scholes na wachezaji wengine ambao sio wa Argentina wala Brazil waliocheza nao kushare opinions zao juu ya Messi na Ronaldo zina uzito.
 
Mkuu tambua Brazil & Argentina are rival enemies, so kwa Ronaldinho kusema aliyosema kuhusu kumlinganisha Pele na Messi sio ajabu. Isipokuwa kwa Scholes na wachezaji wengine ambao sio wa Argentina wala Brazil waliocheza nao kushare opinions zao juu ya Messi na Ronaldo zina uzito.


Sababu zako ndogo sana ,alves pia ni mbrazil na anakwambia messi ni zaid ya pele

Ki ujumla mna taka kutulazimisha tuso amini messi mzuri tuamini jambo ambalo ni gumu
 
Habari wadau, moja kwa moja niende kwenye maada,
Kila nikijaribu kuwatofautisha Messi na Ronaldo nani ni bora kuliko mwenzake, nashindwa kupata jibu, kwa sababu sioni sababu yoyote inayoonyesha direct kwamba mmoja ni bora zaidi ya mwenzake,.
Najua humu kuna wataalam wengi , naomba msaada , kufahamu nani ni bora kuliko mwenzake na sababu gani zinazotumika kuwatofautisha na kufanya mmoja awe juu ya mwenzake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom