Ronaldo ameanza kucheza UCL kabla ya mesi na anamzidi karibu mechi zaidi ya kumi lakn wako sawa kweny record ya ufangaji bora wa mda wote UCL.
Hiyo ni UEFA, Je kwa kawaida kuanza soka kama soka nani ana magoli mengi zaidi na nani kaanza kucheza mpira kati ya Messi na Ronaldo!?